Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 3,188
- 5,810
Itakuwa karogwa sio bure aisee
Rashford sijui kawaje
Rashford sijui kawaje
Watu wana haraka mnoo.
Rashford kila siku anafunga or assist. Hii kwake ni lazima. Huyu ameanza mechi kadhaa hakuna kitu kabisa.Muda mwingi anautumia bench huo mpira tutaona wap rashford anapata sana dakika kwa nn?
Rashford kila siku anafunga or assist. Hii kwake ni lazima. Huyu ameanza mechi kadhaa hakuna kitu kabisa.
Una chuki binafsi na Rashford, ulitaka Van De Beek acheze nafasi ya Rashford ?Muda mwingi anautumia bench huo mpira tutaona wap rashford anapata sana dakika kwa nn?
Una chuki binafsi na Rashford, ulitaka Van De Beek acheze nafasi ya Rashford ?
Ni trashRashford sijui kawaje

Rashidi anazingua mkuu goli gn la kukosa lile?hata km ni mahaba mkuu ila kwenye ukweli usemwe hamna kitu mule.Una chuki binafsi na Rashford, ulitaka Van De Beek acheze nafasi ya Rashford ?
Mbele yalikuwa yale matoto mawili unategemea nn? Lingine linashindwa hata kukimbilia mpira linauwacha mpira unatoka mpk kocha kashangaa, toto vivu km limefungwa mawe mguuni, mi hili toto linanikera mm hili.SIJAWAHI KUONA MPIRA WA OVYO KAMA HUU, UMEPOAAAA...
YAANI DAKIKA 90 HAKUNA YELLOW CARD HATA MOJA?
alimaanisha DVB afu sasa akauliza "Rashford anapata muda mwingi kwanini???" ko kaongelea watu wawili kwa wakati mmoja★
Una chuki binafsi na Rashford, ulitaka Van De Beek acheze nafasi ya Rashford ?
Kwnz vdb anacheza vzr sn co mbinafsi km haya matoto mawili, alafu wakuu nakumbusha tu kwamba Maguire tulipigwa.★mkuu hujamuelewa jamaa kasema "muda mwingi anakuwa benchi huo mpira tutauonea wapi!!"alimaanisha DVB afu sasa akauliza "Rashford anapata muda mwingi kwanini???" ko kaongelea watu wawili kwa wakati mmoja★
★mkuu hujamuelewa jamaa kasema "muda mwingi anakuwa benchi huo mpira tutauonea wapi!!"alimaanisha DVB afu sasa akauliza "Rashford anapata muda mwingi kwanini???" ko kaongelea watu wawili kwa wakati mmoja★