radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Kuna mahali nilisoma na niliipenda hii comment:
VDB ni young aliyekuja kwenye nchi nyingine kwa mara ya kwanza anadopt culture ya nchi ngeni kwake including football style.
Timu aliyotoka walikua wanapga short pass alafu ni one two kind of one touch.
Man utd ni long pass lazima apewe muda ku adopt.
Fred alivumiliwa na hata huyu dogo apewe muda.
Point mkuu kwa sasa fred ni mchezaj muhimu sana


★
