Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man u hamna kitu,ubingwa wameutapika wenyewe. City anabeba
 
Well said Chief...Rashford ni moto mkubwa. Watu wana tabia ya kulaumu wachezaji wasiowapenda. Naona hapa mnashusha lawama kwa Lindelof na Maguire. Hawa ni mabeki makini sana. Kitu cha muhimu kujua ili timu pinzani ishinde ni beki anakuwa kafanya makosa fulani. Usitegemee goli lifungwe kwa uzembe wa straika.
 
Pamoja na hayo halafu zero mafanikio chelsea kashuka karudi kabeba had ndoo za uefa manchester united kashuka karudi kukipita kila kitu

kwa sasa arteta anawatumbukiza huko bunrley mshindano wako na brighton wanakuja kwa kasi mkae chonjo
Hehehe timu inayoshuka daraja inasajili kocha aliyetoka kushusha timu daraja naona mnatunza utamaduni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…