Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Honestly kwa mchezo wa leo hasa kuanzia dakika ya 60s tulistahili kufungwa timu ilipoteana kabsa.
Mwisho wa siku hatukufungwa kutokana na kazi nzuri ya beki ya United..Donestk pagumu sana pale..hivyo Moyes alienda na tactic ya kuplay it safe...ambayo imezaa matunda ya kupata pointi 1 away..