Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Tumepoteza mechi 2 tu na watoto na moja ni kabla hatujakuwa fit. Kifupi mechi ya Shefield pekee Ndio tumefungwa na mtoto hali ya kuwa tunatafuta ushindiSiyo kweli,tatizo lililopo hapo ni kwamba pamoja na hao big 6 kumsumbua bado na wadogo wanamsumbua sana. Ila laiti kama angekuwa anazifunga timu ndogo na kutoa draw au kufunga baadhi ya big 6 teams angekuwa kwenye nafasi nzuri sana ya kubeba ubingwa
Sent using Jamii Forums mobile app
wapinzani wetu wataweka pamba masikioni, mdomoni na kutusubiria tupate penalty ndio waongee.Kwenye press conference Ole amesema Report ya referee mechi ya Shefield, Goli la kwanza la Shefield ni Foul, na la martial si foul.
wapinzani wetu wataweka pamba masikioni, mdomoni na kutusubiria tupate penalty ndio waongee.
klop ana mdomo mbayaToka Klopp awachane marefa, penati zimeyeyuka!
wachezaji wa timu pinzani pia wameongeza umakini, rafu nyingi wanazifanya nje ya box.Toka Klopp awachane marefa, penati zimeyeyuka!
Rashford na martial izi lawama wanazitaka wenyewe.....nadhani mwenyewe unajua haina haja ya kuandika sanaHawa wachezaji ni watu tujifunze kupunguza kuwalaumu pale wanapokosea tusije kuwakatisha tamaa View attachment 1691390
Chief mkwawa uko genge moja na ole gunar sosha kuwatetea akina martial mnaihujumu timu yetuTumepoteza mechi 2 tu na watoto na moja ni kabla hatujakuwa fit. Kifupi mechi ya Shefield pekee Ndio tumefungwa na mtoto hali ya kuwa tunatafuta ushindi
mimi sina tabia ya kulaumu wachezaji, na mashabiki wa Man u wengi mambo yakienda vibaya huwa mnatafuta tu mbuzi wa kafara.Chief mkwawa uko genge moja na ole gunar sosha kuwatetea akina martial mnaihujumu timu yetu
Ni radika huyu jamaa ana lawama ni balaaaaaaa.Anakufaga na Martial tu.mimi sina tabia ya kulaumu wachezaji, na mashabiki wa Man u wengi mambo yakienda vibaya huwa mnatafuta tu mbuzi wa kafara.
mechi za karibuni Cavani kakosa sana magoli, katoa boko tumefungwa lakini lawama zote anapewa martial na rashford. pogba mwenyewe anacheza vizuri sasa hivi siku moja tu akizingua utaona mitusi itakavyoanza humu au Maguire.
Hawa wanakabia kwa mbele pengine James Leo ikawa siku yake kwa 4-2-3-1 ama Ole akapanga diamond na VDB.MATCHDAY
Sikutegemea kwenye hizi game mbili zilizopita kutaondoka na point moja tu..sikutegemea kabisa.
Timu yetu bado ina matatizo ya kiuchezaji pamoja na tactics lakini pia tuangushwa sana na foward line yetu..wanashindwa tumia nafasi vizuri kwenye games muhimu..Rashford,Cavani,Martial,Fernandes,(Greenwood)**..Yaani wamekuwa na poor decisions pale wanapokuwa kwenye nafasi nzuri,msimu uliopita hawakuwa hivi na ilikuwa ikipigwa counter tu unajua hili goli.
Inabidi tustep-up tofauti na hapo tutakuwa nje ya top four hivi punde tu.
••••••••••••
MY STARTING XI vs SOTON
=========
De Gea
AWB Bailly Maguire Shaw
Fred Pogba
Greenwood Fernandes Rashford
Cavani
==========
GGMU
Peter Drury said
Rashford has Messi's skills and he also has Ronaldo's Speed, But he has Benteke's mind
![]()
