Zile goli hapaswi hata kulaumiwa
Leo umeshinda kesi, kila utachosema kitaonekana cha ukweli.Leo umelegea sanaa ...
Punguzen maneno
Hahaaaaaa
Tunategemea utulivu kwenye majukwaa yetu kwa muda.
Ni wakati sasa wa kutulia na msiba wako kabla ya kuanza kuja tena kudangadanga kwenye majukwaa yetu.
Maibilisi wekundu,vp bado mnahitaji ulinzi?
Unajua maana ya kughani?.........marehemu alikuwa na kiburi sanaMmekuja kughani msiba ama kutukejeli?
Kumbukeni msiba bado uko ndani, shiti zenu zote malehemu anazisikia.
Tunaombeni mutuache kidogo.
Usiumie mkuu sana mkuu. Mechi bado nyingi naamini mtarudi nafasi ya kwanza tuYani saa nyingine inakera sana. Kweli sisi ni wa kufungwa nyumbani na Sheffield.
Hii si fedheha ya kufungulia mwaka. Sheff ambae ndani ya game 19 alikua na Point 5 .
Man U wamejua kutudhalilisha aisee
Kwa kweli nimeumia mnoo
Yametimia
Sosha hajakaa kiubingwa kabisa yani mi naamini bahati ndio itambeba kuchukua ubingwa wa epl lakini si uwezo....
Nikizikumbuka nusu fainali nne anapoteza sina hamu nae kabisaaaaaa
Hahahah sisi wazee wa kuweka mzigo tunaonaga mbali sanaAiseeee uliwaza mbali sana tena ukawa against na wenzio wote humu.....
Sosha kawapa rekodi burnley
Ukiona mwenzio ananyolewa?Uliwapa warning mapema,Wakakuona we Boya tu......Hawakutaka kukuamini.
Pasi aliyompigia mchezaji wa Sheffield je?..De Gea jana kazingua big timeBao la pili dee gea alisharuka kwenye timing nzuri aliempoteza ni tuanzebe....
Bao la kwanza yoyote anafungwa
Na mwezi wa sita asipotafutiwa timu ya kwenda utakuwa ni upumbavu mtupu.Martial hastahili kuwa mchezaji wa timu yetu
Form 5 shule lini?Tuko vizuri leo tutapata clean sheet View attachment 1687770
Hii comment walikubishia???Niliwahi kusema VAR na Marefa wakiacha kuwabeba kwa Penalty za wizi nyie ni hamna timu.
Salama lakini?Mjengo umevamiwa na mamluki.