Kocha anakwenda kulipanga lile tuanzebe la nn ss, kila likipangwa linazingua.Haya ni matunda ya kupanga timu mawazo yako ni Arsenal sasa point tatu umeachia na Arsenal ni sare jumla ni point moja. Wakati ungelishinda leo na Arsenal sare ungejipatia ubingwa. Sasa ManCity watakuwa mabingwa
United ikiondolewa points za penati inakua ya 2.Cavani + Rashford + Greenwood + Martial Hawa walevi wa Gongo Eti ndio wakupe EPL Na bado mtapigwa sana bila Penalty nyie ni sawa na ENUNGU RANGERS tu.
Man United kuwa wa kwanza ni kama kumuona tembo juu ya mti. Wote hatujui kapandaje ila tuna uhakika atashuka.

fala kweli


🤣🤣🤣🤣Turudi wakuu msihofu game yetu hii ila tuwache dharau tufunge kwnz.
Toa Martial weka Cavani, Toa Matic weka Tommy.
4-1
Nasema uwongo jamanii
GGMU.