Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nazungumzia lampard.. nazungumzia chelsea. Sijamzungumzia ole. Usijaribu kuhamisha mada.

Lampard hachezi mpira.. unamtupia lawama zote wkt wachezaji kule hawaonyeshi hata bidii.
Angalia barcelona walivyo. Yule kocha si wa viwango vyao.. lakin wachezaji ndio wanaibeamba ile timu japo kwa shida.
Mkuu wakati mwingine mfumo wa kocha unaweza kufanya mchezaji asiwike ..mfano Werner au Haverts ..unadhani kuna mchezaji wa kumkata namba Werner hapo man u? Jibu ni hakuna. Ndo maana tunataka Lampard aondoke ili aje kocha mwenye uwezo wa kuwatumia vizuri wachezaji na kupata matokeo.
Ole ni saw na Lampard tu ila upepo umemuendea vizuri.
 
Uchizi huo.
Livakuku yuko nafasi ya 4 lakini hana wazo la ubingwa sembuse wewe!
Hahaha tena jana katobolewa yule liverkuku.. sasa na ninyi mukianza kupapaswa sisi tutachukua kasi ya kutosha kama siyo sisi basi ni Leicester City ..naiyona kabisa ikibeba kombe tena.
#CFC
 
Cha kushangaza ni kwamba huyu mtoto hachezi hovyo na wala hapotezi mipira anaficha mpira na hana maringo, akipata nafasi huwa anafunga tena wkt mwingine ni angle ngumu ila bado anakwambia eti ni hovyo, anataka kumpa majukumu makubwa mtoto mdogo, anataka awe anafunga kila mechi pasipo kujiuliza anacheza nafasi gn.

Jamaa wa ajabu sana.

Mkuu ana goli ngap na assist ngap ktk mech 19 za sasa?
 
Hapana Rashford Ana thamani kuliko Sancho,

Hizi ni Data za Cies, kampuni ya Utafiti ya Michezo.
View attachment 1682735
Wamemueka Rashford kama mchezaji Ghali zaidi Duniani.

Factor walizoweka consideration
1. Perfomance
2. Mkataba wa sasa
3. Nchi na Timu anayochezea.

Tunaweza ku argue wapo wrong ila kiuhalisia hata kama Sancho amemzidi rashford gape si kubwa na hata kama Rashford amemzidi Sancho pia gape sio kubwa.

Rashford yupo on course kuvunja Record ya Rooney kama Mfungaji wetu bora zaidi, so far goli 80 anazo na ndio kwanza amecheza kama Robo tu ya Career yake.

Una uhakika gani atafika umri wa uchezaji aliofika rooney?
 
Hapana Rashford Ana thamani kuliko Sancho,

Hizi ni Data za Cies, kampuni ya Utafiti ya Michezo.
View attachment 1682735
Wamemueka Rashford kama mchezaji Ghali zaidi Duniani.

Factor walizoweka consideration
1. Perfomance
2. Mkataba wa sasa
3. Nchi na Timu anayochezea.

Tunaweza ku argue wapo wrong ila kiuhalisia hata kama Sancho amemzidi rashford gape si kubwa na hata kama Rashford amemzidi Sancho pia gape sio kubwa.

Rashford yupo on course kuvunja Record ya Rooney kama Mfungaji wetu bora zaidi, so far goli 80 anazo na ndio kwanza amecheza kama Robo tu ya Career yake.
Na thamani yote iyo cha ajabu kila dirisha la usajili likifika hakuna hata tetesi za timu kumtaka....
 
Na thamani yote iyo cha ajabu kila dirisha la usajili likifika hakuna hata tetesi za timu kumtaka....
Sababu ana thamani kubwa na yupo Man U, timu ngapi zinaweza kuipokonya Man U mchezaji ambae wanamtaka? Ukitoa Christian Ronaldo ambae Madrid walivunja Record ya Dunia sidhani kama Kuna super star aliondoka hali ya Kuwa tunamuhutaji.

Na sio Rashford tu Hata Pogba timu ngapi Unafikiri zinaweza kum Afford? Chache sana labda tuamue kumuuza kwa bei rahisi, same kwa Bruno na masuper star wengine.
 
★Paul Pogba has warned his Man Utd team-mates the hard work hasn't started, and they will need to be "arrogant" to stay top of the Premier League.

#GGMU

manutd |
IMG_20210122_132855_473.jpeg
 
Back
Top Bottom