Rashford hana thaman hyo wwe... Sancho tu mwenyew ana thaman kuliko rashfordJames Wilson, Danny welbeck, macheda, Bellion, Falcao, Owen, forlan, Alan Smith etc hawa walikuwa na viwango zaidi?
Rashford sasa hivi ni kati ya wachezaji Ghali zaidi duniani, Ukitoa Mbape na Haaland kuna kinda Gani utasema ni mzuri kuliko Rashford?
Pia Greenwood anakuzwa Bado ila nafasi yake ni Mshambuliaji wa katikati, anachezeshwa pembeni sababu hakuna mtu kule, nafasi yake itakuja Europa Akue vizuri.
Na Martial pia Ana nafasi yake, japo yupo kwenye form mbovu ila bado ni mchezaji wa kutegemewa hasa uwezo wa ku hold ambao wachezaji wengi kule mbele Hawana.
Lingard Ana nafasi kama backup player kwa kikosi cha sasa.
Bado pia tu naweza kusajili hata wachezaji watatu zaidi kule mbele kwa kikosi chetu bila kuuza mtu.
Huna adabu. Inaonekana umelelewa na mzazi mmoja. Huwezi kuchambua mpira mpaka utukane.
Kuna sehemu nimeongelea offside hapo? Au unajigonga tu.
Ungeuliza naongelea nini.
2nd goal. PogbaView attachment 1682313
Yule pogba wa juventus namuona sasa jaman hatukupigwa liliamua tu
Isije ikawa ndio anatuaga.
Anaejua sosha anatupeleka wapi aniambie maana mie hata sijui
Throw backView attachment 1682729
Hapana Rashford Ana thamani kuliko Sancho,Rashford hana thaman hyo wwe... Sancho tu mwenyew ana thaman kuliko rashford
Kinachombeba rashford ni Kampeni zake nje ya uwanja otherwise Rashford ni Nchimbi aliechangamka
Gabriel heinz alikuwa anapiga sana kiatu huyo muhuni halafu anatabasamu.Namuona Gabriel Heinz hapo, hiyo beki tatu nayao nilikua naikubali kinoma.
Msimu huu so far Rashford ame perform vizuri, at least champions leagueMkuu rashford mwaka wa ngapi huu yupo nyuma ya mbape?
Apo top mmetushikia
Apo juu tunakuja kwa kasi ya Duma. HATUFUNGWI TENA.Wew kwenye uzi wenu kule umekimbia, unakuja uku kwa watu ambao wapo juu ktk table, nenda hata nyuzi ya Asernal atleast bcoz ndio level zenu
Kati ya Lampard na Ole nani mkali?Lampard ndio anacheza uwanjani au? Maana bonge la timu hujitetea hata kama kocha ni mbovu
Ndizi?? Wee unajua ndizi mkuu? Au unafananisha na zile ndizi za Mata alizokuwa anamtungua zombie degea? Wakati Mata akiwa Chelsea..apo Pogba ata chama au mwakinyo wanapiga fresh tuBonge la ndizi pogba anarudi
Apo top mmetushikia
#CFC
Mkuu tukikaza kwa hizi game zilizobaki tunaweza kuwa mabingwa kabisa.Hiyo nafasi utabaki kuisikia kwenye kwenye bomba tu.
"Pom pooooooooooooom"