Chadiwick alicheza Man kipindi cha nani?
Afanye hivi jumapili ktk FA Cup, kulia amuanzishe Greenward au James, then kushoto acheze RashfordMechi ya Jana Ole alijikosesha ushindi mwenyewe kwa kuwaheshimu Liverpool kupita kiasi.
Sikuona sababu yoyote ya Ole kucheza 4 4 2 diamond & 4 5 1 kwenye mechi ya jana.
Kilichoshangaza zaidi ni Rashford kuanza kama lone Striker halafu Martial akacheza left wing.
Kumuanzisha Pogba kwenye right wing kulimrahishia kazi sana Andy Robertson that's why alikuwa anapanda sana kwani right wing haikuwa na threat yoyote.
Bruno Fernandes alikuwa amechoka sana na probably anahitaji kupumzika walau 3 consecutive games au apunguziwe dakika za kucheza.
Mechi ya jana tungeshinda kama Solkjaer angeanza na Greenwood/James kulia kisha kushoto acheze Rashford striker angecheza yoyote Cavani or Martial.
Nafikiri next game atafanya rotation na kuna possibility kubwa sana tukapoteza hii mechi.Afanye hivi jumapili ktk FA Cup, kulia amuanzishe Greenward au James, then kushoto acheze Rashford
Umenichekesha sana mkuu, simulia kwa nini ulikuwa hupendi hilo jina?Chadwick umenikumbusha 2003 hiyo kama sikosei.
Nakumbuka madogo janja wenzangu walikua wakiniita jina hilo (nilikua silipendi hilo jina)
huenda ni sura ya chadwick na meno yake yalikuwa ni chukizo kwake. Chadwick alinyimwa mpaka kipaji cha sokaUmenichekesha sana mkuu, simulia kwa nini ulikuwa hupendi hilo jina?
Ila Hela mkuu zisikie tu, Chadwick ni Handsome sasa hivi, kama hujamshuhudia live akicheza Huwezi kua mini ukimuona leo.huenda ni sura ya chadwick na meno yake yalikuwa ni chukizo kwake. Chadwick alinyimwa mpaka kipaji cha soka
Umenichekesha sana mkuu, simulia kwa nini ulikuwa hupendi hilo jina?
Ila Hela mkuu zisikie tu, Chadwick ni Handsome sasa hivi, kama hujamshuhudia live akicheza Huwezi kua mini ukimuona leo.
Na pia Career yake sio mbaya, timu ndogo ndogo kina westham, reading, Burnley, Norwich etc kacheza sana huko.
Hela mkuu, Ali fanya operation ya kujenga upya Taya na kurekebisha Meno.Mbona kabadilika hivi!
1. YangaPremier League
1- Manchester United
2- Manchester City
Laliga
1- ATM Madrid
2- Real Madrid
Seria A
1- AC Milan
2- Inter Milan
Talk of genuine cities with genuine football ruling power
ManchesterMadridMilan
Amazing
Jibu jepesi kwenye swali gumu...Hapa Rashford mnamtukana bure tu alivyokabwa vile asingeweza kutoa hiyo pass.
Tusiangalie mpira as if timu yetu ilikuwa inacheza peke yake.
Ulianza vizuri pale uliposema tatizo ni midfield. Huwezi kushinda mechi kama ball possession ni 36%. Hatukuweza kumiliki hata pasi nne za uhakika kipindi cha kwanza. Kwa hiyo hata Greenwood angeanza wa kumpatia mpira hangemwona. Mechi ya Fulham ampumzishe Fernandez kachoka ili awe fresh dhidi ya Liverpool FA jumapili.Mechi ya Jana Ole alijikosesha ushindi mwenyewe kwa kuwaheshimu Liverpool kupita kiasi.
Sikuona sababu yoyote ya Ole kucheza 4 4 2 diamond & 4 5 1 kwenye mechi ya jana.
Kilichoshangaza zaidi ni Rashford kuanza kama lone Striker halafu Martial akacheza left wing.
Kumuanzisha Pogba kwenye right wing kulimrahishia kazi sana Andy Robertson that's why alikuwa anapanda sana kwani right wing haikuwa na threat yoyote.
Bruno Fernandes alikuwa amechoka sana na probably anahitaji kupumzika walau 3 consecutive games au apunguziwe dakika za kucheza.
Mechi ya jana tungeshinda kama Solkjaer angeanza na Greenwood/James kulia kisha kushoto acheze Rashford striker angecheza yoyote Cavani or Martial.
Kiwango kimeshuka sanaHuyu kijana anakuwa mpuuzi sana kazini kwake.
I think game plan aliyoingia OGS ilikuwa OK kosa lilikuwa kuanza na Martial badala ya Cavani ,Martial alipaswa kuingia sub angekuwa na impact kuliko alivyoanza.Mashambulizi ya Liverpool yanaanzia kwenye full back (Trent & Robertson) na jana wote walibanwa Mane na Salah hawakuwa na impact yeyote .Cavani ambaye ni natural stiker angewasumbua sana Liverpool CB (Fabinho & Henderson) hawakuwa na pressure yeyoteMechi ya Jana Ole alijikosesha ushindi mwenyewe kwa kuwaheshimu Liverpool kupita kiasi.
Sikuona sababu yoyote ya Ole kucheza 4 4 2 diamond & 4 5 1 kwenye mechi ya jana.
Kilichoshangaza zaidi ni Rashford kuanza kama lone Striker halafu Martial akacheza left wing.
Kumuanzisha Pogba kwenye right wing kulimrahishia kazi sana Andy Robertson that's why alikuwa anapanda sana kwani right wing haikuwa na threat yoyote.
Bruno Fernandes alikuwa amechoka sana na probably anahitaji kupumzika walau 3 consecutive games au apunguziwe dakika za kucheza.
Mechi ya jana tungeshinda kama Solkjaer angeanza na Greenwood/James kulia kisha kushoto acheze Rashford striker angecheza yoyote Cavani or Martial.