Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sio ole tu kumbe
Screenshot_20210110-084847.jpg
 
Throwback

Lingard kuna kipindi aliwasha moto hadi akawa Mourinho's favourite. yaani jina lake nahisi ndo lilikuwa la kwanza kuwekwa kikosini..Hata mimi nilianza kuwa na matarajio mazuri na yeye..yaani ni mchezaji aliyekuwa anacheza kwa akili nyingi sana kwa kile kipindi..movement kali kali kwenye mechi n.k...dribble za hatari,na itoshe kusema hatujapata dribbles mzuri so far ukiacha zile zake.

All over sudden jamaa akapotea..swali ninalojiuliza hivi ni nini hapa huwa kinatokea?..ni fluke ama?

Nimemkumbuka tu Jesse' Lingardinho..aka JLingz.
Jesse alikuwa na matatizo nje ya uwanja, ndio maana amedrop form sana.

Na hadi leo pengine chini ya mou akawa mchezaji nzuri, mou anapenda 10 zinazokaba.
 
AISEE...KUMBE NA WEWE HUJUI HII KITU, UKIPIGWA HAPA (kama ujinga tuliofanya Carabao na UEFA) UNAONDOLEWA KABISA KWENYE MASHINDANO. MECHI YA JUMANNE NI YA POINT TU HATA UKIFUNGWA BADO UPO UNAPAMBANA UTARUDISHA POINT ZAKO UTAKAA SAWA. KIFUPI MECHI HII NI MUHIMU KULIKO MECHI YOYOTE YA LIGI.
Aisee, Kwamba Fa uweke full mziki? Na Fa ni Bora kuliko ligi?

Kwamba Arsenal nao ni timu kubwa sana maana ligi wapo ovyo ila Fa wanabeba sana tu.

Mechi ya JUMANNE ni muhimu sana tukishinda ama draw ina maana tunampita liver na kuongoza ligi kwa Mara ya kwanza Toka Fergie Astaafu.

Mfano jana unapanga full mziki halafu Bruno ama Fred anaumia miezi 3 Unafikiri it's worth it?
 
Aisee, Kwamba Fa uweke full mziki? Na Fa ni Bora kuliko ligi?

Kwamba Arsenal nao ni timu kubwa sana maana ligi wapo ovyo ila Fa wanabeba sana tu.

Mechi ya JUMANNE ni muhimu sana tukishinda ama draw ina maana tunampita liver na kuongoza ligi kwa Mara ya kwanza Toka Fergie Astaafu.

Mfano jana unapanga full mziki halafu Bruno ama Fred anaumia miezi 3 Unafikiri it's worth it?
Halafu kitimu chenyewe ni Watford.
 
Kwamba Arsenal nao ni timu kubwa sana maana ligi wapo ovyo ila Fa wanabeba sana tu.

Mbona kama unatumia nguvu..

Kwahiyo wewe mwenye timu kubwa mara ya mwisho kubeba kombe lolote ni lini?

Haya tumemuona huyo Buruno Penandezi wenu kwenye game ya semi final juzi.

Au timu kubwa makombe yenu ni Semi Final?
 
Kwanini mkuu?
Tunahitaji kiungo wa kudrive timu mbele,kucreate na mwenye spidi pia hapo katikati..Nimemcheki VdB naona kwa timu yetu hatakuwa na mchango mkubwa..mimi nilichokuwa natarajia kutoka kwake ni kuwa hata kama Pogba na Fernandes hawapo kwenye timu yeye aweze kufanya kazi wanayofanya hata kwa asilimia fulani,kitu ambacho hajaweza kufanya..

Kumpa muda ni jambo jema,lakini analysis inabidi ifanyike mapema kama anaweza kwenda sehemu nyingine ambapo ataweza kushine why not?
 
Tunahitaji kiungo wa kudrive timu mbele,kucreate na mwenye spidi pia hapo katikati..Nimemcheki VdB naona kwa timu yetu hatakuwa na mchango mkubwa..mimi nilichokuwa natarajia kutoka kwake ni kuwa hata kama Pogba na Fernandes hawapo kwenye timu yeye aweze kufanya kazi wanayofanya hata kwa asilimia fulani,kitu ambacho hajaweza kufanya..

Kumpa muda ni jambo jema,lakini analysis inabidi ifanyike mapema kama anaweza kwenda sehemu nyingine ambapo ataweza kushine why not?
kwel kabisa Mkuu 👍
 
Tunahitaji kiungo wa kudrive timu mbele,kucreate na mwenye spidi pia hapo katikati..Nimemcheki VdB naona kwa timu yetu hatakuwa na mchango mkubwa..mimi nilichokuwa natarajia kutoka kwake ni kuwa hata kama Pogba na Fernandes hawapo kwenye timu yeye aweze kufanya kazi wanayofanya hata kwa asilimia fulani,kitu ambacho hajaweza kufanya..

Kumpa muda ni jambo jema,lakini analysis inabidi ifanyike mapema kama anaweza kwenda sehemu nyingine ambapo ataweza kushine why not?

Point
 
Back
Top Bottom