Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sijatukana popote pale.
Kwanza me zaidi ya maneno ya utani, hua sipendi kutumia lugha inayo mkera mwenzangu, labda kwa wapuuzi kama Kurzawa.

Kuhusu kuchukua kombe, sisi tunaenda kuchukua msimu huu, haijalishi wewe utakunja ama vipi.
Eh ushaanza matusi tayari.

Chukueni kombe hili linawangoja nyinyi tu.
 
Ole ni wa pili katika ligi.

Arteta huu unaanza kua msimu wake full Arsenal. Ole ni msimu wa ngapi United? Hizo semi finals ni ngapi kashindwa kutoboa?

Ole ameikuta United kama Zidane alivyoikuta Madrid ya Ronaldo, Zidane aliwahi sema kua alikua akiwaambia wachezaji chezeni mnavyocheza mimi nataka matokeo.

Alitegemea uwezo wa wachezaji kuliko mbinu zake, same ipo kwa Ole, timu ilipo ni uwezo wa mchezaji mmoja mmoja kuliko uwezo wa kocha.

Also aliyekutoa wewe nusu fainali ndiye aliyenitoa mimi robo.
 
Tufanye Arteta ni bonge la kocha.
 
Kumbe wewe bure kabisa kwa taarifa yako moja ya vitu vilivyomsumbua sana Arsene Wenger akiwa manager Wa Arsenal kuchukua ubingwa ni hilo la kukomaa kwa big four wenzake ilihali wadogo wakawa wanampa shida. Sasa kimahesabu tu, big six wanajieleza wako Sita na hawa wadogo wengine wako wangapi? Unakomaa na big six zaidi halafu unapoteza game nyingi kwa hao kina Burnley na wenzake unahisi utachukua ndoo!?
 
na cheka kwa dharau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…