Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hebu screenshot kutoka source yako nione.

Source hii hapa.

 
Hicho kikosi hakiwezi mfunga city labda
City nishamfunga mara kibao na vikosi ambavyo ni substandard..kinachohitajika kwenye hicho kikosi ni hardwork+Clinicalness kule mbele,City anakufa vizuri
 
City nishamfunga mara kibao na vikosi ambavyo ni substandard..kinachohitajika kwenye hicho kikosi ni hardwork+Clinicalness kule mbele,City anakufa vizuri
Hii mechi dhidi ya man city itarejewa lini au mara hii haitokuwa na marejeo kama ilivyokawaida?
 
Mbona unaipenda hii match kui quote Hali ya kuwa Unajua tunaongelea mechi ya Paris na sio Ya OT? Hii Telles alicheza wing back?
 
Mbona unaipenda hii match kui quote Hali ya kuwa Unajua tunaongelea mechi ya Paris na sio Ya OT? Hii Telles alicheza wing back?
Iko hivi;

Hiyo mechi mliyoshinda haina direct link. Inatakiwa uifuate kwa kubonyeza timu yoyote hapo kisha utaona game mliyoshinda, ukiiclick inakupa stats zote.

Ndiyo maana nilikuletea screenshots.

Sasa lete screenshots zako tuone kama zinapingana na nilichopost.
 
Hata Lingard apewe nafasi
 

Hio ratings ya BBC.

For the sake of discussion tu assume sofascore wapo sahihi kama ulivyoweka.
Ratings ya 6.6 sio mbaya by any means na haireflect maneno yako kuwa hakucheza vizuri kama wingback

Na sofascore kama who scored wana rate stats na sio uchezaji, tofauti na BBC ambao ratings zinatokana na review za wataalamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…