Manchester United (Red Devils) | Special Thread

kwn huyo naye ni man u? Mbn ana roho ya kimgambo mgambo.
 
Sio Arsenal mkuu, usiihesabie kabisa na ukitaka kuamini save hii comment.
 
So una suggest timu zote Uingereza ziache kuwa na wachezaji 24 badala yakw ziwe tu na wachezaji 11?
 
Hahaha chief ungeangalia kwa karibu ungenotice chief mkwawa alisema kuhusu telles kuchezeshwa wingman.

Hiyo mechi telles performance yake haikua nzuri ndiyo maana nikaulizia work rate.

Halafu straight up umedai nina matatizo. Huyo ni wewe sasa
Nimesema Telles amechezwa Wing back, na ndio perfomance yake kubwa ilipoanzia huko against psg. Shaw alicheza kama beki wa kati kushoto na Telles kama wing back wa kushoto.

Hebu lete ushahidi hapa kwamba hakuwa perfomance nzuri.
 
Karibuni, sasa hivi sina expectations zozote na timu yangu, napokea inachonipa.
Usikate tamaa Mkuu, ninachoona ni kuwa wachezaji wenu wamechoka inatakiwa wafanyiwe mzunguko kwa kupumzishwa japo safari bado ni ndefu lakini lolote linawezekana chini ya Klop na mzuka wenu wa motisha wa Liverpool FC "YNWA"

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 

Sina sababu ya kujipa msongo wa mawazo kwa kitu nisichoweza kuki-control.

Mimi ni mshabiki ambaye muda ukifika huwa nakuwa mkweli wa nafsi yangu, sitaki kujidanganya wakati wanachonipa nakiona.

Last season nilikuwa naangalia mpira huku nina matokeo mfukoni, na hawakuwahi kuniangusha. This season tunalipia ile nguvu iliyotumika msimu ule.
 
Nimesema Telles amechezwa Wing back, na ndio perfomance yake kubwa ilipoanzia huko against psg. Shaw alicheza kama beki wa kati kushoto na Telles kama wing back wa kushoto.

Hebu lete ushahidi hapa kwamba hakuwa perfomance nzuri.
Mnafungwa 3 na psg telles workrate yake ilikua ni 6.4 wakati fred aliyetoka kwa red ilikua 6.0 hii workrate yake ilikua sawa na de gea lakini ni ndogo kuliko wachezaji wote wa ndani.

Katika ile game telles alifanya clearance moja tu.

Tackles 2.

Dribbled past 2.

Katika ground duels 7 alishinda 3.

Alifanya aerial duel 1 tu.

Alipoteza possession mara 17.

Alifanya faulo 2.

Alipiga krosi 8 ila 2 pekee zilienda golini.

Au siyo game hii?
 
Uwe unazungumzia na Arsenal mkuu.
 
Psg 3 man utd 1 telles alikuwa wing back?
 
"I hear now that Manchester United had more penalties in two years than I had in five and a half years. I've no idea if that's my fault, or how that can happen." Liverpool Manager

Naona Klop tabasamu linamuishia, anahisi pressure. Asubiri January 17.
 
Frasturation

Tuna penalty 1 zaidi ya liver msimu huu

Sisi 6 wao 5, na Leicester anaongoza Ana 10.

Na kabla Ya Var 2015 mpaka 17 liver walipata penalty za kutosha tu. Sisi misimu 3 penalty 10 tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…