Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naturally grealish is more of number 10 kuliko winger. Hata kama ole akimchukua. Accomodation ndani ya timu itakuwaje maana tayr kuna bruno pale namba 10?
 
kwenye mfumo wa 4-4-2 diamond atatufaa sana jack grealish, lile eneo alilokaa pogba atasimama yeye.
kama pogba atabaki na kuendelea kucheza kwa nidhamu basi upo uwezekano wa kucheza na kiungo mzuiaji mmoja huku paul akiwa namba 8.

  1. grealish + bruno + pogba/scott/matic/fred + scott/matic/fred
 
Bado siwezi linganisha Paul na Grealish. Sina imani na wachezahi wa Kiingereza
 
Tatizo ni upangaji kikosi tu,,,akiweka kikosi kizuri na sub za kueleweka hata huyo ole atatubebesha ndoo msimu huu..2020/2021.

Jambo hilo linawezekana mkuu...ila mchawi mkubwa wa ubingwa wa man u ni majeruhi..

Hilo ndy tatizo kubwa sana kwa sasa.
Tatizo ni kocha na sio majeruhi.

Toka msimu uanze kuna mechi tulitakiwa tushinde sema kocha akatuangusha.
 
Hiki ndo kikosi chetu mara ya mwisho kukutana na Liverpool Anfield na bado tulicheza vizuri japo tulipigwa 2 bila

United: De Gea; Wan-Bissaka, Lindelof, Maguire (c), Shaw, Williams; Matic, Fred, Andreas; James, Martial.

Subs: Romero, Bailly, Jones, Dalot, Mata, Lingard, Greenwood.


Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
 
ile nguvu tulioitumia kupambana na michael zorc kwa ajili ya usajili wa sancho ni bora tuielekeze kwa grealish dirisha lijalo
Man United kwa sasa sidhani kama wanahitaji la Right wing, kitendo cha Borussia Dortmund kiliwakera na kuamua kununua right wingers wawili ambao wanajipa muda tu wa kuanza kuwatumia.

Lakini pia sidhani kama United wanamhitaji tena Grealish hasa ukizingatia baada ya Aston Villa kupandisha dau United walimnunua Donny Van de Beek.

Sasa hivi wanamuwinda Caicedo nadhani ni replacement ya Matic au Pogba hasa ukizingatia Matic umri na Pogba ni kama hasomeki vile.
 
Tatizo ni kocha na sio majeruhi.

Toka msimu uanze kuna mechi tulitakiwa tushinde sema kocha akatuangusha.
mkuu hata majeruhi pia yanatugharimu sana,,

Hivi mfano rashford,, Cavan ,,martial,Fred,, fernandez wawe wajeruhi,,

Timu itakuwa sawa?

Ndy maana nikasema tuombe timu isipate majeruhi,,

Wachezaji wawe fit wote first 11.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…