ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,528
- 7,923
Ile pasi ilikuwa mbali sana pembeni kule. Haikuwa pasi ya mwisho ilihitaji mtu kama Rashford ku-control na kuwapunguza mabeki ili afunge. HAIKUWA PASI YA MWISHO.Punguza mahaba..angalia vitu kiuhalisia..Mtu wa kushukuriwa sana ni aliyepiga pasi


goals
assists

