Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,291
Me nitaendelea kummic Rafael mpaka keshoFuc.k..
AWB tumetoa £50m..aisee ningekuwa kocha jamaa angekuwa anatrain saa moja asubuhi hadi saa nne usiku..
Me nitaendelea kummic Rafael mpaka keshoFuc.k..
AWB tumetoa £50m..aisee ningekuwa kocha jamaa angekuwa anatrain saa moja asubuhi hadi saa nne usiku..
ANGE-TRAIN KUPIGA CROSS TU SIKU NZIMA.Fuc.k..
AWB tumetoa £50m..aisee ningekuwa kocha jamaa angekuwa anatrain saa moja asubuhi hadi saa nne usiku..
Punguza mahaba..angalia vitu kiuhalisia..Mtu wa kushukuriwa sana ni aliyepiga pasiTUACHE KUSIFIA UJINGA..KWA GOLI HILI LA RASHFORD UNAMSIFIAJE BRUNO??? KAPAMBANA MWENYEWE KAPUNGUZA WATU, KAWAGEUZA MABEKI KAPIGA SHUTI MWENYEWE KWA AKILI SANA. UNADHANI ANGEKUWA MARTIAL PALE TUNGEPATA KITU.
Tuombe majeruhi yasimwandame sana...Bruno hata akiwa utopolo kuna muda tu atafanya kitu..
What a player.
Huyu jamaa anatubeba sana
Daah na angebaki na Smalling swala la beki wa kati tungesahau kabisaaBailly akipata mechi kumi mfululizo lindelof mbona tutamuona mchumba tu..
Timu sio kabila ama mkuu njoo upumzike ukuTembeeni vifua mbele washabiki wa Man U maana kwa Ole Guna nyota ya matokeo iko powa msituige the Blues mkaja kumpata Kocha kituko mwenye mpira mwiiingi, mbwembwe na mahaba tele kwa akina Tammy hata kama hawajui lkn matokeo ni pointi 5 kwa mechi 5 zilizochezwa.
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Kwani ule mpira alopasiwa ulishuka kutoka angani??TUACHE KUSIFIA UJINGA..KWA GOLI HILI LA RASHFORD UNAMSIFIAJE BRUNO??? KAPAMBANA MWENYEWE KAPUNGUZA WATU, KAWAGEUZA MABEKI KAPIGA SHUTI MWENYEWE KWA AKILI SANA. UNADHANI ANGEKUWA MARTIAL PALE TUNGEPATA KITU.
Me nimeacha kabisa kumsemaKwani ule mpira alopasiwa ulishuka kutoka angani??
Halafu punguza chuki na Martial, akifunga mbona unapost humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante, bahati ni jambo jema sana popote pale ktk maisha, nawaonea wivu sana mnavyokula bata sababu ya nyota njema kimatokeo. Hongereni sana wakuu.Timu sio kabila ama mkuu njoo upumzike uku
Shukran Mkuu Ngoja tupumuepo maana Mitandaoni watu wanalala waniota mAn UAsante, bahati ni jambo jema sana popote pale ktk maisha, nawaonea wivu sana mnavyokula bata sababu ya nyota njema kimatokeo. Hongereni sana wakuu.
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Ile game na Leicester ilikuwa muhimu sana sasa tungekuwa sawa na Livakuku
Bailly mech ya pili hii anafanya vizur sanaIla Bailly wakuu ni kitasa haswaa.