Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Matic yuko poa tu, shida hapo kwa Pogba, huwa ana mood, kuna siku anashindwa kabisa. Lakini ingekuwa mmoja hapo atoke awepo Fred au Tominay ingekuwa moto sana.
Siku ambayo Man U anatakiwa akae pazuri ndio anazingua.
Kwa Pogba na Matic hapo tumeliwa
 
Hakukuwa na haja ya kuanza na pogba aisee sababu sio mzuri kwenye kukaba ilifaa aanze fred au mctominay
 
Gameplan haijatulia...tumepiga cross nyingi ambazo hazina threat.

Bado tunachangamoto ya kuzifungua timu ambazo zina compact defending style
 
Back
Top Bottom