Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sawa sawa maoni yako.

Hao 2 watakaosajiliwa watakua wa muda mrefu au mfupi? Kama ni wa muda mrefu ni sahihi kusema hizo sajili mbili zitawapa ubingwa wa msimu huu?

Ulitakiwa umuulize mwenzako
 
Wolves wako vizuri sana mechi ya leo ni ngumu tu.
Everton
Liverpool
Wolves
Man city
Leicester city

Hizi ni fixture ngumu sana msimu huu.
Foward wao ni toothless bila Jiminez..

Unaposema wapo vizuri una maana fomu yao ya ligi au nini? ...maana hawana fomu nzuri.

Tuna timu ya kuwafunga Wolves kirahisi tu..sababu ya kutunyima ushindi itakuwa ni amateur game plans za ole za kuanza na kina Dan James
 
Huyu kuna wakati anashika hadi ukapteni wa England anastahili sana kupewa United.
 
USISAHAU,....NA MARTIAL ANA UHAKIKA SANA WA KUANZA.
 
Bruno ni captain.

Maguire ni mpuuzi flani overrated.
MKUU NAKUHAKIKISHIA MAGUIRE NI KIONGOZI MZURI SANA, ANA TIMING NZURI, MIPIRA YA KONA YA PANDE ZOTE(KWAKE AU KWA MPINZANI) LAZIMA ITUE KICHWANI KWAKE. KUNA WAKATI ANAKUBALI YELLOW CARD (KUMVUTA MTU SHATI) KUOKOA TIMU ISIFUNGWE KWA UZEMBE WA VIUNGO.
 
WELL SAID ..
 
Sio kwamba hawa vijana ni kukosa umakini, ukiangalia martial ana kauwezo flani ka kupiga pasi, akiwepo cavani uwanjani matunda yanaonekana ya martial
 
Nyie Man Utd mnapendelewa kudadeki


Watu wanakaa siku moja ndio wanacheza game nyie mmepewa siku kibao toka jmosi hadi jnne
AKILI YA HOVYO HII, MAN U NDIO TIMU YA KWANZA KUCHEZA BAADA YA X-MAS, YAANI WACHEZAJI WAMETOKA KUJIRUSHA JANA KESHO YAKE SAA SABA MCHANA WAKAINGIA UWANJANI, HILI HUSEMI.
 
MKUU SIKU HIZI HUMUWEKI MARTIAL
 

wtf
 
#mufc squad to face Wolves: De Gea, Henderson, Wan-Bissaka, Tuanzebe, Bailly, Maguire, Shaw, Telles, Matić, Van de Beek, Pogba, Fred, McTominay, Fernandes, Mata, Rashford, James, Martial, Cavani, Greenwood.
#mulive [men]

Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
 
Watacheza 12 mkuu

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…