Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lakini licha kuwa hoi Kuna kuzidiana ! Arsenal Ni zaidi ya hoi ! Inaonekana Kuna shida ya ndan ambayo sisi mashabiki hatuijui ambayo imepelekea kuathiri Hadi matokeo ya uwanjani !
Kujadili Arsenal katika uzi wa United ni kutudharau sana mashabiki wa United.

Nendeni kwenye jukwaa lenu mkajadili relegation battle.
 
Wewe usingizi ulikuwa unakusumbua tu
 
Huo mstari wa mwisho ndio unachojivunia msimu huu
 
Hahaha sema ya Bielsa kila mtu kashngaa yahn.......ila klop ni kocha mzuri lakn kwa mwaka huu flick robbed!

Kitu cha kwanza ni kujua ni watu gani wana vote au anapatikanaje kocha bora.

Maana kuna argument ya Neuer amekuwaje kipa bora wakati hayuko kwenye 1st eleven?

Below is an extract from Wikipedia:

The selection criteria for the coaches of the year were: performance and general behaviour of their teams on and off the pitch.

The votes were decided by media representatives, national team coaches, and national team captains. In October 2016, it was announced that the general public would also be allowed to vote.[1] Each group will have 25% of the overall vote.
 
Hivi mafanikio ya Bielsa kisoka ni yapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…