Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Siku ya game ya UEFA baada half time wamelud uwanjan camera zote kwa fred.. walikuwa wanajua huyu Nyekundu inamhusu.. ilibid awe benchi
Muda huo ole wangu kabet tu kamaa jamaa hatoki na red
 
Siku ya game ya UEFA baada half time wamelud uwanjan camera zote kwa fred.. walikuwa wanajua huyu Nyekundu inamhusu.. ilibid awe benchi
Muda huo ole wangu kabet tu kamaa jamaa hatoki na red
tatizo benchi hakukua na mtu wa maana, mcsauce hakuwepo iliku ni Pogba ambae hana impact yoyote siku hizi. Mchezaji kucheza na njano ni kawaida. Mbona kina Lindelof hua wanakula njano dk ya 4 tu ya game na wanamaliza salama? Bet pale ilikua ni refa kutokua na presha ya kumpa kadi Fred.
 
Ona sasa mkuu tumeluka mikojo tumekanyaga mavi
 
Muendelezo na moto ule ule aliotoka nao ureno
 
★Kama Rekodi iishie mechi ya Jana tu Sawa ni Sifa flani kurudisha Goli na kushind mechi husika lakini wapinzni nazani washatusoma sasa hivi na tutakuja kuruhusu Goli 4 tukitegemea Comeback afu wanapaki basi wachezaji wote 10 hapo ndipo tutaelewa kwanini Nyangumi ni mkubwa lakini anaelea★
 
Ningekuwa nauwezo wakufika mahali alipo hakika nakiri kabisa ningebusu miguu ya huyu jamaa, anafanya kila kitu kwa ajili ya timu. kutoka kwa lingard na pereira wakicheza namba 10 nilikuwa nateseka sana.
 
Ole mpaka leo anashindwa kufanya sub zenye akili anashindwa vipi kutoa comment ya aina hiyo?

Ole hajitambui so far.
 
Niliandika juzi hapa.

Huu msimu kwa kikosi tulichonacho na ukiangalia na form za timu nyingine za Ulaya. Basi united lilikuwa kombe lake.

Ila Ole kama kawaida yake, lazima awe anatoa boko.
 
Ni sawa si ushindi salama, ila atleast ni point kwamba anajua kufanya sub
Ole hajui game management. Usimtetee.

In terms of team selection, substitutions bado sana. Hana impact yeyote.

Ni moods na forms za wachezaji ndo zinamuokoa kwa sasa ni Bruno.

Na hata ukiangalia mpira tunaocheza bado mbaya sana.

Kila mara tunatanguliwa kufungwa, the comes comeback ambayo hatutakiwa kujivunia.
 
Man united ilikuwa na shida ya no 10, ole amefanya usajili, no 10 inafanya kazi.

Then from no where munamponda Ole Hajui anabebwa na wachezaji.

Hivi hata haikujii akilini wachezaji wetu wana overperform sababu kocha anajua awatumie vipi?

Again hizo comeback zinatoka wapi kama sio sub?

Hebu tu assume wachezaji wanaweza kumbeba kocha.

Striker
Rvp, Rooney, Falcao

midfield
di maria, mata, michael carrick, herrera etc

hivi huo mziki on paper na kikosi chetu cha sasa kipi kizuri?

di maria anatoka kuwa top assist, na mmoja wa wachezaji bora duniani assist 25 msimu mmoja, rvp on form world cup, blind naye top assist world cup, rojo on form na argentina, falcao top marksman, rooney naye ni rooney jumlisha na viwango vya kina carrick na herrera, valencia, young, mata na wengineo,

kama wachezaji mkuu wanambeba kocha hao wangembeba lvg, na tungebeba ubingwa.
 
★Kwni swla la kusajili namba 10 ndio tusiongee kuwa hajui kufanya mabadiliko yaliyo Timamu acha hivyo bana kuna vitu anavifanya 100% perfect na tunaviona eh hichi katumia akili ila kunavingine nividogo sana kwa akili ya binadam na Bado ndivyo ana boronga mfano Mzuri swala la Sub nazani kati ya Subs alizofanya na zikaleta mafanikio i mean zakueleweka kwenye 100 ni 16 tu kwa Makadirio ya haraka tukienda makadirio ya kuturia hata hizo 13 hafikishi mimi namuelewa huyu jamaa ila kuna muda anaborongo tuache mahaba Mkuu★
 
★Pogba on the impact of COVID:
"It's hard to explain because you wouldn't understand. I got tired quickly. The first game of the season, I couldn't run. I was trying. I was very short of breath and it took me a long time to get back into shape.”.★

#GGMU


manutd |
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…