Nilishangaa sana kipindi cha pili kumwona Fred hata camera zilikuwa zikimfuatilia wakati anaingia uwanjani.
Fikiria commentator walibaki wakishangaa,wachezaji wa kuchukua nafasi yake wapo eti sasa hivi ndio anawaingiza wakati tuko nyuma kwa bao moja na mchezaji mmoja pungufu.
Sijawahi kuona uzembe wa kiwango hiki tena katika level ya champions league!.Nadhani hii nafasi ni kubwa sana kwa Ole,amekuwa na tabia ya kuchelewa kuchukua maamuzi.