Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama sio mchezaji cavani ni nani basi?
Hivi unajuwa mpira kweli?
 
Upo sahihi

Hata ukiangalia game yetu ya mwisho, wenzetu wakipata mpira wana haraka ya kwenda golini kwetu, lakini sisi tukipata hatuna haraka na tunawapa wapinzani muda wa kurudi kupaki basi

Pia Ole (Ole means benchi lote la ufundi) hana plan B, timu pinzani inapotukamata kwenye counter attack zetu basi timu inakuwa haina njia mbadala, mfano ninaamini mechi ya juzi tunge opt long balls kuanzia dakika ya 70 tungeweza kupata kitu

Halafu tuna shida ya kupasi ili tuonekane tuna pasi lakini sio kupasi ili tupate goli, yote hii ni down to poor coaching
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…