DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,870
POGBA SASA AMEKUWA MZURI SANA..HAPO KATIKATI KUSHOTO ANACHEZA VIZURI SANA, KWANI ANAPANDISHA MASHAMBULIZI NA ANARUDI HAPO KWA SHAW KUMPA TAFU, KAMA ULIANGALIA MECHI YA UCL UTAELEWA.
Kweli
POGBA SASA AMEKUWA MZURI SANA..HAPO KATIKATI KUSHOTO ANACHEZA VIZURI SANA, KWANI ANAPANDISHA MASHAMBULIZI NA ANARUDI HAPO KWA SHAW KUMPA TAFU, KAMA ULIANGALIA MECHI YA UCL UTAELEWA.
Kweli
Leo Arsenal tuna jambo letu mapemaaaa..
Arteta ajashinda mechi kadhaa za ligi hivyo leo kapania kufanya weekend iwe mbaya kwenu.

Mmeshinda, mlicheza vzr hongereni na muendeleze consistency na co kukamia wakubwa tu fanyeni hivyo kila siku mchukue ubingwa.Unasemaje, View attachment 1617844
Nyinyi si mlitaka rotation ya kikosi sasa karotate kikosi mnasema anakuja na mfumo mpya tena ?mkuu umenena vema ila kiukweli Ole kiufundi na uwezo bado kuweza kufundisha club yenye pressure kubwa kama utd, hana mipango ya ushindi kila siku anakuja na kikosi na mfumo mpya wachezaji watacopy vip. Ole ni kocha anaetaka kujificha nyuma ya uzembe wa kusajili wakati ana kikosi kipana. Nakuhakikishia mkuu hata man utd aje mess na Ronaldo na mbape Ole hawez kutupa matokeo sahihi
Kama nyinyi mlivyokamia wakubwa juzi Leipzig.Mmeshinda, mlicheza vzr hongereni na muendeleze consistency na co kukamia wakubwa tu fanyeni hivyo kila siku mchukue ubingwa.

Tulisema mapema...😀😀😀Leo Arsenal tuna jambo letu mapemaaaa..
Arteta ajashinda mechi kadhaa za ligi hivyo leo kapania kufanya weekend iwe mbaya kwenu.
Arsenaneeeeeeeeeee💪💪💪💪Arse8 akifungwa leo kutakuwa na tatizo. Hivyo kuepuka matatizo ni lazima ashinde. Na mipango ya kushinda ipo..
Here we gooo Arsenaneeeeeeeeeeee😂😂😂💪💪💪
Leipzig wakubwa😂😂😂😂Kama nyinyi mlivyokamia wakubwa juzi Leipzig.![]()
![]()
![]()
Duuh, sawa mkuu nimekubaliSawasawa, lete matokeo View attachment 1617846
Game plan ilikuwa mbovu kupita kiasi.Kati ya mechi zote EPL, mechi ya arsenal sio ya kufungwa. Hata mimi nikafundishe United ila sio Arsenal. Ole amezingua pakubwa jana.
Hata ukipita comments za wachambuzi na mashabiki wanashusha lawama zote kwa kocha.
Sulley matola angefaa sanaKufungwa kwetu jana ni makosa ya wazi ya mwalimu kutokuwa na game plan.
Ole 'gunner 'Kati ya mechi zote EPL, mechi ya arsenal sio ya kufungwa. Hata mimi nikafundishe United ila sio Arsenal. Ole amezingua pakubwa jana.
Hata ukipita comments za wachambuzi na mashabiki wanashusha lawama zote kwa kocha.
Acha bangiSulley matola angefaa sana
Umejuaje mkuuAcha bangi
Humble AfricanMmeshinda, mlicheza vzr hongereni na muendeleze consistency na co kukamia wakubwa tu fanyeni hivyo kila siku mchukue ubingwa.