Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

On/off zimekuwa nyingi sana na ndio maana tunaendelea kusema ushindi wa timu ni juhudi za wachezaji na si mbinu za ogs. Haya,tuna match fitness,kikosi kipana na tumepata mfumo/kikosi cha kwanza Ila tunafungwa na arsenal yenye bukayo saka!
Kuja na hoja ya kumkosa martial na/au Sancho haiwezi kuwa sababu kwanini timu inacheza back pass kila muda.

Mbali na kuzidiwa mbinu na arteta tangu mwanzo wa mchezo,tatizo kubwa la man utd ni kuwa na work rate ndogo ukilinganisha na wapinzani wetu,mwalimu kuwaogopa pogba na rashford kufanya vitu kwa mazoea.
 
Ni kweli Ole is at the wheel but in a reverse gear.

Screenshot_20201021-095138.jpg
 
Ndiyo maana nasema Daniel James angecheza kushoto au Cavani aanze halafu Rashford acheze kushoto.

Pogba hakuwa na madhara yoyote kushoto halafu walifanikiwa kumficha Bruno na Rashford cause they knew our strength iko katikati.
Ishu ya leo sio sijuo nani angecheza wapi, pale arsenal leo kulikua na wanyama watatu partey, elneny na nyuma gabby...mdio shughuli ilipo...
Alafu ni aibu sana eti gabby kanunuliwa kwa mil 26 alafu magwaya mil80.
🤣🤣🤣🤣
 
OptaJoe
@OptaJoe
1 - Manchester United have attempted just one shot against Arsenal; their fewest in the first half of a Premier League home game since October 2015 (0 v Manchester City). Blunt.
 
★Win, Lose or Draw ; Man United till I die!

#GGMU

manutd |
IMG_20201022_180643_263.jpeg
 

Attachments

  • IMG_20201102_033742_839.jpeg
    IMG_20201102_033742_839.jpeg
    100.2 KB · Views: 11
★A picture with a 𝙩𝙝𝙤𝙪𝙨𝙖𝙣𝙙 meanings...

#GGMU

manutd |
IMG_20201102_032205_041.jpeg
 
Back
Top Bottom