Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Sisi yoyote atakayeanza sawa tu kikubwa kushinda wachezaji wote ni wetu na wanakula mshahara kwa kazi ya kucheza siyo kukaa benchi.Kweli ana red...
mtu sipendi kumuona uwanjani ni James
Sisi yoyote atakayeanza sawa tu kikubwa kushinda wachezaji wote ni wetu na wanakula mshahara kwa kazi ya kucheza siyo kukaa benchi.Kweli ana red...
mtu sipendi kumuona uwanjani ni James
Martial hachezi..ana red card(3 match ban)
Leo tuko na Auba na Komred Kipepe ..goli mbili za uwakika kabisa.
Hahahaha saiv ana uhakika hata akivunjiwa mkataba ana mtonyo wake wa uwakika.😂😂😂Auba namuacha yeye na Digea na hafungi.
Jamaa alitaka aongezewe mtonyo tu awaonyeshe rangi yake asili.
mkuu anaupiga kama mbowe sio...



😂😂😂kabisaaa wacha tujipozee na chademanchester....Ewaaaaaaaaaaa, kama mwenyekiti![]()
kabisaaa wacha tujipozee na chademanchester....



mkuu nimegundua wewe ni West ham, tupeni ribert snodgrass tuwape fernandez, simwelewi toka mwenyekiti aangushwe haiWale jamaa wa China wanaweza wakawapa presha kama wanayoipata arsenal kwa ozilPendekezo: Ole dirisha la usajili January amsajili Mesut Ozil aje acheze wing ya kulia.
Ozil ni dhahabu iliyopo mikononi mwa kipofu hivyo haina thamani yoyote kwake.
Akija atatuongezea threat na dimension upande wa kulia hasa ukizingatia uwezo wake wa kusoma mchezo na kupiga pass za mwisho.
Akicheza hata miezi sita atatupa muda wa kuwapunguzia pressure kina Facundo Pellistri na Amad.
Lakini pia Ozil wetu ajaye Hanibal Mejbir atapata fursa ya kujifunza zaidi kutoka kwake.
Ni mbovu sana yule dogo..Sisi yoyote atakayeanza sawa tu kikubwa kushinda wachezaji wote ni wetu na wanakula mshahara kwa kazi ya kucheza siyo kukaa benchi.
Kuna aina 2 za foul mkuu kuna tactical foul ambayo mchezaji anacheza madhambi kumzuia adui asiende kufunga pili kuna misconduct foul....utovu wa nidham wowote kama kupigana,kutukana refa, fujo nyingine nknk so martial anadondokea hapo chini ndio maana anaserve 3 games ban, ila tactical foul nadhani ni game 1 tuKwani adhabu ni mechi 3 vile?
Nilidhani mbili, nikajua jamaa kesha maliza.
Wazo zuri mkuu ila kauli za Ozil dhidi ya Waislam wa China zilifanya China kuitishia arsenal kuwa mechi yoyote ya arsenal atakayocheza Ozil basi haitaoneshwa china.....Pendekezo: Ole dirisha la usajili January amsajili Mesut Ozil aje acheze wing ya kulia.
Ozil ni dhahabu iliyopo mikononi mwa kipofu hivyo haina thamani yoyote kwake.
Akija atatuongezea threat na dimension upande wa kulia hasa ukizingatia uwezo wake wa kusoma mchezo na kupiga pass za mwisho.
Akicheza hata miezi sita atatupa muda wa kuwapunguzia pressure kina Facundo Pellistri na Amad.
Lakini pia Ozil wetu ajaye Hanibal Mejbir atapata fursa ya kujifunza zaidi kutoka kwake.
Kuna aina 2 za foul mkuu kuna tactical foul ambayo mchezaji anacheza madhambi kumzuia adui asiende kufunga pili kuna misconduct foul....utovu wa nidham wowote kama kupigana,kutukana refa, fujo nyingine nknk so martial anadondokea hapo chini ndio maana anaserve 3 games ban, ila tactical foul nadhani ni game 1 tu
United itakubali kuingia msala na ChinaPendekezo: Ole dirisha la usajili January amsajili Mesut Ozil aje acheze wing ya kulia.
Ozil ni dhahabu iliyopo mikononi mwa kipofu hivyo haina thamani yoyote kwake.
Akija atatuongezea threat na dimension upande wa kulia hasa ukizingatia uwezo wake wa kusoma mchezo na kupiga pass za mwisho.
Akicheza hata miezi sita atatupa muda wa kuwapunguzia pressure kina Facundo Pellistri na Amad.
Lakini pia Ozil wetu ajaye Hanibal Mejbir atapata fursa ya kujifunza zaidi kutoka kwake.
Pressure gani sasa ?Wale jamaa wa China wanaweza wakawapa presha kama wanayoipata arsenal kwa ozil
Sikujua hili kwamba lilifikia hatua hii.Wazo zuri mkuu ila kauli za Ozil dhidi ya Waislam wa China zilifanya China kuitishia arsenal kuwa mechi yoyote ya arsenal atakayocheza Ozil basi haitaoneshwa china.....
na sio kwamba arteta hataki kumtumia Ozil nooo, shida ni masuala ya kibiashara, kwani China ni moja ya nchi zinazoilipa vizuri FA na klabu katika matangazo ya soka na vilabu katika issue nzima ya mauzo ya jezi......
Kwahiyo united sidhani kama watafanya hii gamble kwani wanafanyaga hadi tour China, it means tour za klabu kuingia china zitakuwa banned kabisa ama kuwekewa vizingiti vya kibiashara
Ozil killed his own talent and football journey kwa kauli ndogo tu....ila mbinguni amejiwekea swawabu kubwa kwa kusimamia ukweli......
Before sikujua kama kuachwa kwa Ozil kunatokana na hilo sakata la ChinaUnited itakubali kuingia msala na China
Kukosekana kwa masho leo ni ushindi kwa man u. Amini nikisemachoMan utd 0-2 arsenal
Kivyovyote vile,utd is going to die.Kukosekana kwa masho leo ni ushindi kwa man u. Amini nikisemacho