Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Atazoea ligi kwa kuingia dakika ya 87"?Ukilalamikia kwanini VDB hachezi una matatizo kidogo...
Ligi imechezwa mechi ngapi?
Ana uzoefu na ligi kiasi gani?(Inatakiwa azoee taratibu)
Alisajiliwa wa kazi gani? ( Uliwahi jiuliza akiumia Bruno nani atacheza?)
Tuache kuwa watu wa lawama jamani
hilo ndio swali langu mkuu★