Mesi footbal intelligence ipo juuRashford ameshindwa ku chop ule mpira keeper kaacha goli mbali. Hapa ndio huwa namkubali Messi
Ukitaka mchezaji asiyeumia tumia play station mkuu..Man huyo ni injury prone na naona ndo sababu ya PSG kuwa sajili kina icardi ....imagine MTU hajacheza mashindano yoyote since January unaona ataweza kuwa the same kweli?
Tumelinda zaidi, hakuna wa kupandisha mashambulizi kutokea kati, mbele kumepigwa ganzi.Kipindi cha kwanza kimeisha timu ime cheza vizuri.
Tuna kaba na kushambulia kwa kushtukiza.
Labda kipindi cha pili kocha anatakiwa amtoe D Jems na Mata.
NB: Ushindi sheria.
Mata asitoke kabisaKipindi cha kwanza kimeisha timu ime cheza vizuri.
Tuna kaba na kushambulia kwa kushtukiza.
Labda kipindi cha pili kocha anatakiwa amtoe D Jems na Mata.
NB: Ushindi sheria.
Tumechezaje vizuri wakat timu inajilinda sana, kama vile wanatetea kibarua cha kocha!Kipindi cha kwanza kimeisha timu ime cheza vizuri.
Tuna kaba na kushambulia kwa kushtukiza.
Labda kipindi cha pili kocha anatakiwa amtoe D Jems na Mata.
NB: Ushindi sheria.
Sawa sawaMpira ushakwisha huu, tunaenda kukamilisha ratiba.