Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man huyo ni injury prone na naona ndo sababu ya PSG kuwa sajili kina icardi ....imagine MTU hajacheza mashindano yoyote since January unaona ataweza kuwa the same kweli?
labda kama kuna sababu nyinyine, ila hii ni sababu dhaifu sana
 
Axel Tianzebe hajacheza tangu December 2019, ila alianza match dhidi ya PSG na kuwa face Neymar, Mbappe na Di Maria. He did His

Axel Tianzebe hajacheza tangu December 2019, ila alianza match dhidi ya PSG na kuwa face Neymar, Mbappe na Di Maria. He did His job great. Toa sababu nyingine.
Haahaaa At least Axel tuanzebe alikuwa anafanya mazoezi na timu ila huyu cavani hakucheza tena na wala hakufanya mazoezi na PSG kama unakumbuka ligi yao iliwahi kuhairishwa mapema kwasababu ya corona...na yy wkt huo alikuwa na pancha!
 
Safiii
Screenshot_20201024-183203_Google.jpg
 
Acha tuone, ningetegemea namba yake acheze rashfod,then cavan aanze
Mfumo wa Ole against timu kubwa ni counter Attack sababu timu kubwa zinafunguka sana, james kwa timu zinazofunguka si mbaya japo decision making yake si nzuri.

Cavani/Matic/Pogba wote ni experience zaidi na Technique kubwa bila pace, wataingia baadae tukiwachosha kwanza.
 
Kocha kazingua kwenye line up !

Unawadharau Chelsea ???

Angeanza na back three, alafu kuwe wings backs mbili awaweke AWB/Telles !!!!

Anazingua Sana !!! Mwenzie lamps kapanga kikosi poa ! Dizain kawadharau Chelsea , juz Telles kauwasha Sana , Tia Kross za uhakika unamuachaje bench ?

Mid Sina shida nayo !!!! Anyway ngoja tuone , !

Sijafurahishwa na hii squad kabisa !!!!


Cavan yupo bench sio mbaya pengine atapewa minutes sec half, mdogo mdogo atakuwa sawa na kuzoea mates wenzie !

#GGM !!!

NB,, tukishinda hii game , huu Moto tutakaouwasha game zijazo sio mchezo!
 
Mfumo wa Ole against timu kubwa ni counter Attack sababu timu kubwa zinafunguka sana, james kwa timu zinazofunguka si mbaya japo decision making yake si nzuri.

Cavani/Matic/Pogba wote ni experience zaidi na Technique kubwa bila pace, wataingia baadae tukiwachosha kwanza.
Kwa hiyo siku izi ana ana pace? Au leo hajaanza?

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Kocha kazingua kwenye line up !

Unawadharau Chelsea ???

Angeanza na back three, alafu kuwe wings backs mbili awaweke AWB/Telles !!!!

Anazingua Sana !!! Mwenzie lamps kapanga kikosi poa ! Dizain kawadharau Chelsea , juz Telles kauwasha Sana , Tia Kross za uhakika unamuachaje bench ?

Mid Sina shida nayo !!!! Anyway ngoja tuone , !

Sijafurahishwa na hii squad kabisa !!!!


Cavan yupo bench sio mbaya pengine atapewa minutes sec half, mdogo mdogo atakuwa sawa na kuzoea mates wenzie !

#GGM !!!

NB,, tukishinda hii game , huu Moto tutakaouwasha game zijazo sio mchezo!
Telles hata Bench hayupo.
 
Back
Top Bottom