Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hahahahahah lol! Mie BAK banaaaa nilikuwa nachangamsha tu hii thread yenu maana imekuwa kimya sana siku za karibuni...Namuona Babu SAF in the house....ana miss sana kuwepo kwenye mitikasi ya kila siku kuiandaa timu.

Nipo sana...natumia simu...ila mfarisayo anachangamsha kwa mafotos....huku Ngongoseke akiburudisha kwa taarifa...

Rooney kakosa hapa...angetoa pasi kwa Antonio ama Chicharito
 
Last edited by a moderator:
f343ded3-a4b4-42d5-800a-e0d8fb386538.jpg
 
[h=1]OldTraffordJanitor[/h]Januzaj is more "creative", in terms of passing and setting teammates free, than Cr7. But he is the next great thing. I am glad Moyes is giving him playing time.
 
It is a win. First home win for David Moyes at OT.

Great to see Fellaini; hopefully, Kagawa will be fit for Manchester derby next week.

GGMU.
 
Kwi kwi kwi leo naona umechangamka sana lol! siyo kama siku ile mliyotundikwa na L'pool maana ulikuwa umenyong'onyea kupita kiasi...Hongera zenu.

Glory Glory Man Utd, Glory Glory Man Utd
 
Kwi kwi kwi leo naona umechangamka sana lol! siyo kama siku ile mliyotundikwa na L'pool maana ulikuwa umenyong'onyea kupita kiasi...Hongera zenu.

Tunaamia Stadium of Light sasa..Sunderland piga hawa Goons.
 
Timu imecheza vizuri lakini tatizo la msingi bado ni kutengeneza nafasi na kufunga magoli,inabidi tupunguze sana kumtegemea RVP kufunga,Rooney/Chicharito/Kagawa/Nani/Wellbeck wote hawa wana uwezo wa kufunga wakipata nafasi
Moyes anapaswa kufanya rotation ili wachezaji kama Zaha,Januzaj,Fabio,Kagawa,Chicharito,Nani wapate nafasi ya kuonyesha viwango vyao,timu ina wachezaji wengi cha msingi ni kuwapa nafasi
 
Back
Top Bottom