Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
hahahahahah lol! Mie BAK banaaaa nilikuwa nachangamsha tu hii thread yenu maana imekuwa kimya sana siku za karibuni...Namuona Babu SAF in the house....ana miss sana kuwepo kwenye mitikasi ya kila siku kuiandaa timu.
Nipo sana...natumia simu...ila mfarisayo anachangamsha kwa mafotos....huku Ngongoseke akiburudisha kwa taarifa...
Rooney kakosa hapa...angetoa pasi kwa Antonio ama Chicharito
Last edited by a moderator: