Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

  • premier-united-palace-league-manchester-crystal-robin-van-persie_3003149.jpg
 
Refa alikuwa anasubiria ampe nani red card. Full utata ngome kongwr

Unafahamu sheria 17 za soka? Sheria namba 12 inaongelea mazingira ya vitendo vyenye kupata adhabu uwanjani.

Kwa ile kadi nyekundu, Kagosi alikuwa mtu wa mwisho ambaye alimzuia Young nafasi ya kwenda kufunga. Kwa sheria hiyo, hapo ni kadi nyekundu tu.
 
haya wazee mumesaidiwa mtu mmoja kapunguzwa na kagoli kwani ngoma ngumu hata kwa timu ndogo kama hii munahitaji msaada?

Kusaidiwa ndiyo nini? Sheria namba 12 ya FIFA inaagiza kwa kosa lile ya Kagosi, adhabu yake ni kadi nyekundu.

Labda kama unamaanisha tumesaidiwa na sheria hiyo!
 
Fellaini na Adnan wanajiandaa kuingia. Zitakuwa subs nzuri sana.
 
Anderson anaanguka mwenyewe hapa...nafikir ni ishara ya kuomba kutoka.

Na kweli anatoka na Fellaini kaingia.
 
nakubali sheria lakini ile si ilizungumzwa na marefa wote kuwa wapunguze jazba ikiwa kweli hakuhitajiki kutowa adhabu kubwa mbili kwa pamoja basi kadi ya njano inatosha lakini kwavile gemu ngumu na uhakika wa kushinda zaidi ya goli moja inabidi refa afanye vitu vyake na hasa Fegi yupo pale
Kusaidiwa ndiyo nini? Sheria namba 12 ya FIFA inaagiza kwa kosa lile ya Kagosi, adhabu yake ni kadi nyekundu.

Labda kama unamaanisha tumesaidiwa na sheria hiyo!
 
nakubali sheria lakini ile si ilizungumzwa na marefa wote kuwa wapunguze jazba ikiwa kweli hakuhitajiki kutowa adhabu kubwa mbili kwa pamoja basi kadi ya njano inatosha lakini kwavile gemu ngumu na uhakika wa kushinda zaidi ya goli moja inabidi refa afanye vitu vyake na hasa Fegi yupo pale

Ilizungumzwa na nani? Mbona unaleta stori za kishafii dauda hapa?!?

Uwanjani sheria za FIFA ndizo zinazoongoza mchezo. Full-stop.
 
Fellaini kakosa goli hapa...baada ya dogo Adnan kutoa krosi iliyoletw kizaazaa..
 
Back
Top Bottom