Kula chupa za kusagwa, kama unamchukia.
sijawahi kuziona hizo chupa zinapatikana wapi
Huyu roney sio Yule wa zamani kabisa
Wakuu wa kipande hii BJ & CO mumshukuru referee kwa kuwabeba vinginevyo dakika ya 76 hii bado ingekuwa 0-0 naona Van puuuuuu ameshakuwa mdebwedo, shurti awekewe maguu kumi na mbili ya mtu mzima mwenye akili timamu ndiyo azione nyavu lol!.
Sawa Ozil.