Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kikosi ni kizuri kwa kweli..Mimi nadhani kama Ole kweli ni kocha bora basi atumie akili zote kupata best of it..Tuanzebe hewani mzuri sana pia ni mtulivu..Sio mbaya siku wakajaribishwa

Martial akizingua kuna Cavani..Kimsingi tumeanza kuwa na squad depth mzuri
 
Mourinho wako kaongoza goli tatu dakika ya 83 zikaanza kurudi zote..

Set up ya timu leo ilikuwa babu kubwa..Ole na benchi wapewe credit zao
Set up ya mechi moja hii.

We angalia mechi zinazokuja, hutaona mfumo ulioona leo.

Na yule dirisha nae atarudi hlf tuanzebe hutamwona tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…