Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wachezaji wetu wote ni Muhimu ndiyo maana tulimfunga PSG nyumbani kwake wakati wachezaji watano wa first eleven wakiwa majeruhi.

Tuna squad depth kubwa kuliko Arsenal na Totenham mpaka wengine hawapati nafasi ya kucheza.

Kwenye midfield pekee tunawachezaji 10 striking force tuna wachezaji nane.

Sasa hizo risks ni vitu ambavyo haviepukiki uwanjani but tutapata matokeo tunayoyataka.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kina ighalo!
 
Unataka kusema katika ligi na mashindano yote hii timu ilikuwa inakutana na wakina Norwich City F.C. tu haijawahi kucheza au kukutana na hizo timu?
Tunazungumzia kwa hali ya sasa mliyonayo
 
Man united ni timu kubwa kuliko Arsenal, ina mlengo makubwa kuliko Arsenal na lazima iwe na Squad kubwa kuliko Arsenal.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Sawa
giphy.gif
giphy.gif
 
Nimecheka sana kuna mshabiki sijui ni wa Arsenal? Anajaribu kutu-direspect ila ukweli utabaki kuwa ukweli hakuna kocha asiyeogopa kucheza na Manchester United regardless ya mwenendo wetu wa sasa. Wengi wanajua pengine tunaweza kuzindukia kwao. Simba hata awe amepigwa risasi za kichwa mara kumi na kaanguka chini bado utaogopa kwenda kuhakikisha kama kafa kweli au bado.
 
Back
Top Bottom