D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
dalot hazidiwi uwezo na brandon williams ila kumuondoa dalot ilikuwa ni rahisi zaidi kuliko brandon.Right wing wangetafuta option nyingine au kumbadilishia majukumu Diogo Dalot kuwa right kuliko hawa watoto
Huyo traole ni new messi mkuu,,au new roben,,anapiga kushoto ila anatokea kulia,,Sasa mchezaji unamsajili halafu umwache kwa mkopo hii ni akili au matope ?
Si heri wangemwacha Tahit Chong ?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Mc Cane is back with a banger...Dirisha la usajili limefungwa
The best signing United can make is to sign Ole replacement
Sisemi tuna wachezaji bora kama Bayern Munich, HAPANA. Lakini wachezaji kama 18/20 ni bora huko walipotoka au hata wakiwa United kuna wakati walikuwa bora sana
Tatizo tuna legend anaye fanya kazi ya coaching
Ole nilikosa naye imani kabisa msimu uliopita,baada ya kukosa kucheza fainali hata moja huku tukiwa tumeingia kwenye nusu fainali tatu..Hata mimi huu ndio msimamo wangu, OGS atumie risasi zote alizonazo, tofauti na hapo njia nyeupe no excuses
Hata Roy Keane last week akiwa Skysport alimweleza OGS hili, msimu huu hakuna kisingizio cha rebuilding process, watu wanataka kunyanyua makwapa,
OGS kama hamfahamu vizur Woodward akamulize Lvg na Mourinho, jamaa n kauzu barua ya Sacking anakukabidhi yeye mwenyew kw mkono wake
Mkuu cavani anaingia moja kwa moja first 11..teh teh teh
kwa ufupi manchester united tumesajili mchezaji mmoja ambaye kidogo ana uhakika wa kucheza kikosi cha kwanza.
Alex Telles
Kule tunahitaji mchezaji ambaye ameshaprove kucheza siyo anayetokea academy.Amad Traore ni mzuri sana, ila kuna mambo 2
1. Ata cope na pressure ya kuchezea United na ligi ya Uingereza?
2. Hataathirika na poor coaching staff iliyopo?
Binafsi nimepanda usajili wake
Mkuu Chong si mchezaji!Kule tunahitaji mchezaji ambaye ameshaprove kucheza siyo anayetokea academy.
Sasa tulimuondoa Chong wa nini kama tunasajili mchezaji mwenye umri mdogo kuliko hata yule tuliyemuondoa ?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Bora tusingefanya usajili tu.teh teh teh
kwa ufupi manchester united tumesajili mchezaji mmoja ambaye kidogo ana uhakika wa kucheza kikosi cha kwanza.
Alex Telles
Tukaambiwa priority ni kumaliza top 4 ili tuweze kumsajili SanchoOle nilikosa naye imani kabisa msimu uliopita,baada ya kukosa kucheza fainali hata moja huku tukiwa tumeingia kwenye nusu fainali tatu..
tuchukulie martial hana adhabu ya red card..hakuna wa kumweka bench labda asiwe fit
Ndiyo kwa kuangalia tu anavyocheza ataweza shughuli ya epl huyo mtoto ?
Kwahiyo United ni kama mtu anaye mkopesha rafiki yake laki moja na baada ya lisaa na yeye anaenda kukopa elfu ishirini sio?
Chong ni mchezaji kaenda Bremen game mbili amefunga na assist.Mkuu Chong si mchezaji!
Laissez faire attitude inmatesa Ole na timu yake.Ole nilikosa naye imani kabisa msimu uliopita,baada ya kukosa kucheza fainali hata moja huku tukiwa tumeingia kwenye nusu fainali tatu..
Ole nilikosa naye imani kabisa msimu uliopita,baada ya kukosa kucheza fainali hata moja huku tukiwa tumeingia kwenye nusu fainali tatu..
anafunga akiwa wapi?Chong ni mchezaji kaenda Bremen game mbili amefunga na assist.
Unaposema Chong siyo mchezaji huyo mtoto wa shule ndiyo mchezaji tunayemtegemea tukacheze nae UCL ?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Cavani ni PSG top scorer of all times,,tuchukulie martial hana adhabu ya red card..
kwa nini cavani?
Yupo leage gani?Chong ni mchezaji kaenda Bremen game mbili amefunga na assist.
Unaposema Chong siyo mchezaji huyo mtoto wa shule ndiyo mchezaji tunayemtegemea tukacheze nae UCL ?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
unaonekana ni mfuatiliaji mzuri wa LIGUE 1.Cavani ni PSG top scorer of all times,,
Cavani ni top scorer world class...
Hajifunzi bali ana experience..
Martial hana sifa za centre forward.. Martial ni attacker,, left wing..
Labda huyo ole azinguwe..lakini kocha kama morinho ,,diego simion haumizi kichwa kumchaguwa cavani over martial..