Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Hapa tumekosa mtu mwingine mbadala wa Sancho ndiyo tunaenda kuokoteza watoto ?option ya uhakika ilikuwa ni jadon sancho ila bajeti hatukutaka itoshe(sijui pesa inapelekwa wapi), klabu imetumia takribani paundi millioni 100 kwa wachezaji watano(hela ambayo ilipaswa itumike kwa usajili wa sancho pekee)
walichokifanya board ni kutuonjesha maziwa ya mtindi.
Mbona Riadh Mahrez anaozea bench pale Man city ?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app


