Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Its official
 

Attachments

  • Screenshot_2020-10-05-20-39-36-94.png
    91.8 KB · Views: 5
Hakuna cha rebuilding. Tunapoteza muda tu.

Benchi la ufundi lote upuuzi mtupu. Carrick na Phelan ni weupe.
 
richest clubs in the world ...Man utd ni ya 3, everton ni ya 19..

una hela nyingi lakini haikusaidii au hauitumii ipasavyo

man utd watavuna walichopanda
Huo ni utajiri wa Asset na thamani ya timu unaosema wewe, wanahesabu thamani za uwanja, wachezaji, deals za club etc

Niliokutajia mimi ni kiasi Ambacho club imetumia kusajili, Everton wana Bilionea ana mpunga mrefu wametumia hela nyingi kusajili. Wametumia pound milioni 500 toka Aje huyo mmiliki. Wana wachezaji kibao ambao wamewanunua zaidi ya pound milioni 30, hivyo si club ndogo kama unavyofikiria unless unaongelea mazoea. Same kwa Aston Villa, mpunga wa kutosha wamemwaga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…