Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Una Kipepe unasema una straika nzuri ??😎😎😎
 
★Have Manchester United prioritised the wrong player all along?


@manutd
 
Najaribu kuangalia timu ndogo ya Everton sio moja ya timu kubwa tajiri duniani ila iwa pesa yao kidogo wana fanya sajili zenye AKILI, na sishangai wamekua kwenye top performance na kuongoza ligi hadi sasa.

Wakati mwingine unaweza kua na pesa nyingi lakini hazina msaada wowote kwenye maisha yako kama hujui kuzitumia vizuri zikusaidie katika jambo unalolifanya. Ni upuuzi tu.

Narudia kua timu ya Manchester United iendelee kufungwa game sita mfululizo kwa goli sitasita kila mechi.
 
Amad Traoré will join Manchester United on next January, here we go!
Deal agreed right not with Atalanta but the young talent [born in 2002] will arrive on 2021 because of work permit and passport timing.

#MUFC will pay €30m + add ons for him!
 
Ni sawa na mnunuzi wa Mchele akanunue chenga halafu aje alaumiwe mpishi kwa kupika bokoboko.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Wachezaji waliopo wanaweza kuchukua kombe wakipata kocha mzuri.

Niambie namba ambayo haina mchezaji wa maana pale United.

Kocha ni mzembe na hajui anachofanya.
 
Kungekuwa na DoF, succession plan isingeleta shida.
 
Yaani Solkjaer kazunguka duniani kote second option yake kwa Sancho awe Adam Traore ??

Haiwezekani hapa ni kwamba Woodward kashindwa kufanya usajili kaamua kununua mtu yoyote aliyeko sokoni bila hata consultation na Mwalimu.

Kimsingi Ole mpaka sasa Van Gaal alionewa, Mouringo alionewa pia na sasa ni zamu ya Ole kuonewa na Woodward.

Muda utasema.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Angelikuwa na sifa za mourinho basi ndani ya siku chache zijazo tungelifahamu ukweli uliopo, kama ulivyosema tunapaswa tusubiri muda utupe ukweli uliopo.

option pekee iliobaki ni osmane dembele, barcelona wanatia presha ya kutaka kutuuzia kwa bei ya jumla na si kwa mkopo hii ni kwa sababu wanajua fika tuna uhitaji wa winga wa kulia.

tukijiingiza ovyo wanaturamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…