MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,186
- 5,450
Man UNITED aliondoka nayo Feg na wengi hamlijui hilo.Yule babu alibeba kombe na Manchester United iliyojiegesha egesha tu.Huwezi kuwa na akina Martial eti ndiyo wakuokoe.
Mchungaji mmoja ulaya alikuwa anafungisha ndoa ya midume miwili huko uingereza akasema sasa nyie mmekuwa wanaume wawili si mmoja tena yaani mmekuwa MAN UNITED haaaahaaaahaaa kwa kweli mnatisha.
Man ni mbwa mkali wa zamani aliyetisha kwelikweli ila na kibao cha mbwa mkali kilitisha pia kwa sasa mbwa keshakufa mwenye mbwa kasahau kutoa kibao cha mbwa mkali waoga wanakimbia hadi sasa kwa bahati nzuri machokolaa wamebaini kuwa mbwa kafa wameingia usiku mnene ni kubomoa tu na kuiba kila kitu.
Hakika rekodi ya Arsenal itakaa sana hadi ije ivunjwe.
Pepo limetii amri bila hata maombi.Poleni sana mimi nilikuja tu kuongeza vichwa vya wakeraji yaani kuja kuwakera.
We are the gunners forever.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchungaji mmoja ulaya alikuwa anafungisha ndoa ya midume miwili huko uingereza akasema sasa nyie mmekuwa wanaume wawili si mmoja tena yaani mmekuwa MAN UNITED haaaahaaaahaaa kwa kweli mnatisha.
Man ni mbwa mkali wa zamani aliyetisha kwelikweli ila na kibao cha mbwa mkali kilitisha pia kwa sasa mbwa keshakufa mwenye mbwa kasahau kutoa kibao cha mbwa mkali waoga wanakimbia hadi sasa kwa bahati nzuri machokolaa wamebaini kuwa mbwa kafa wameingia usiku mnene ni kubomoa tu na kuiba kila kitu.
Hakika rekodi ya Arsenal itakaa sana hadi ije ivunjwe.
Pepo limetii amri bila hata maombi.Poleni sana mimi nilikuja tu kuongeza vichwa vya wakeraji yaani kuja kuwakera.
We are the gunners forever.
Sent using Jamii Forums mobile app