Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1601847730389.jpg
 
It’s not quite Kepa Arrizabalaga territory, but £80m for Harry Maguire is aging like unpasteurized milk.
 
Sasa Sosha unamfananisha na Arteta ? Wewe kiazi kweli Arteta ana makombe mawili sosha ana nini zaidi mnapokea vipigo vya aibu nyumbani

Wewe jikite kwenye post za mpira lugha za hovyo huwa sipend kama huwez kuleta utan kweye mpira usijibu post zangu hao jama wa arsenal huwa tunafanya mijadala ya adabu hatuchukulii mpira kama pumzi ya maisha ukiona una hasira pita kushoto
 
Kaa kimyaa pumbafuu

Namkwambia kama una hasira usijibu wala ku kot post zangu angalia tu au unaweza kwenda nao sawa wenye lugha za hovyo w level yako mpira uchezwe ulaya we huku unateseka unatukana na wenzio unachangia hata mshahara wa arteta wewe?
 
Namkwambia kama una hisira usijibu wa ku kot post zangu angalia unaweza kwenda nao sawa kwenye lugha za hovyo mpira uchezwe ulaya we huku unateseka unatukana na wenzio unavhangia hata mshahara wa arteta wewe?
Ushapaniki, wewe unachangia mshahara wa Sosha ? Umetukanwa wapi
 
Ushapaniki, wewe unachangia mshahara wa Sosha ? Umetukanwa wapi

Mi sijapanik na wala sipo hivyo huwezi kukuta lugha za kipuuzi sichangii chochote ndio maana siteseki mpira ni utani na ucheshi wewe kama unachukulia ndio pumzi yako ya maisha na sehem ya ugomv kwangu umepotea
 
Kitu ambacho hawajajua wenzangu au mm ndio sijui nilikiona muda mrefu sana bruno fernandez alikuwa akicheza vizur sana na timu ilikuwa sawa kipindi pogba anaumwa lakin aliporudi tu kila kitu kikaanza kuwa hovyo ina maana pogba na bruno kucheza kwa wakat mmoja haiwezekani lazima mmoja akae bench
100%
 
Back
Top Bottom