



Usijali mkuu. Every wish will be granted😄😄😄😄😄😄Hii mechi inatakiwa tufungwe tena
Ed WoodwardNani alimpa kitambaa Maguire??![]()
Lazima muandamane safari hiiOle out Greazer family out Ed out
Leicester wanashukuru mkosi uliondokaMaguire sio beki kabisa tumepigwa hela nyingi
Oleeeeeeee sendekaAhaaa hawana
Piga kelele kwa Ole Akeeee.
Aaaggghhhh Sisi hatujui bhanaHuyu maguire tumepigwa kwa ile bei, martial anafahamu tupo nyuma 2-1 analipitizia kiwiko, hahahahahh daah kuipenda man utd kipindi hiki inaitaji ustamilivu ila ndio timu yetu
Kwa leo wachezaji ndio waliozingua, OGS kwa leo hana kosa japo naye ana madhaifu yake
Evra kasema ukweli kuhusu hii timu, pia anadai ma'legends wenzake wanashindwa kuchana mapungufu ya timu bcoz they expect ajira 1dayKitakachofuata hapo baada ya kipigo hiki na kwakuwa dirisha linafungwa jumatatu basi kutakuwa na panic buy
MOU ana hasira na Pogba, Man U aliyewaponza ni huyo Pogba