Kwahiyo uvivu wa Pogba na Martial tu ndo uliomfanya Mourihno ashindwe kufanya vizuri sana United?..View attachment 1588776
Wakuu nawasalimia hapa
Tujikumbushe ka fainali kidogo ka yuropa
S Romero
A Valencia (c)
C Smalling
D Blind
M Darmian
A Herrera
P Pogba
J Mata
MFellaini
H Mkhitaryan
M Rashford
Substitutes
D De Gea
P Jones
W Rooney
A Martial
J Lingard
M Carrick
T Fosu-Mensah
Baadae aliongezeka bailly na zlatan tukashika nafasi ya pili kwa hii timu uvivu wa pogba na martial ukamfukuzisha kazi mourinho mwisho wa mchezo pogba yupo bado ni yule yule tuliambia mourinho anamharibu tukaamini na kumchukia sana mourinho imepita hiyo imebaki story tu.
Am still in prayer too! And it will happen.Nipo pamoja na wewe mkuu.
Huko atakapoenda atakuwa moto
Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo uvivu wa Pogba na Martial tu ndo uliomfanya Mourihno ashindwe kufanya vizuri sana United?..
Europa League sio kombe la sisi United kujivunia
Ana timu nzuri pia pale Spurs afanye mambo sasa
Ni kweli ila shida haiwezi kuwa ni Pogba na Martial tu..huyo Martial hata Mourihno alikuwa hamkubali..Sababu za kutofanya vizuri ziko nyingiTimu ni muunganiko wa wachezaji wanaoshirikiana vyema mmoja akizingua system nzima kwisha habar ukweli upo hivyo
Upande wa mataji:
Manchester united ana mataji zaidi ya 40 unafikir ni premier league na uefa champions league?
Chemistry anazidi kuijenga, we subiri uone kama tutashindaKwahiyo uvivu wa Pogba na Martial tu ndo uliomfanya Mourihno ashindwe kufanya vizuri sana United?..
Europa League sio kombe la sisi United kujivunia
Ana timu nzuri pia pale Spurs afanye mambo sasa
Ni kweli ila shida haiwezi kuwa ni Pogba na Martial tu..huyo Martial hata Mourihno alikuwa hamkubali..Sababu za kutofanya vizuri ziko nyingi
Yote ni makombe lakini hatuwezi kupiga kelele mwezi mzima eti kisa tumeshinda carabao cup n.k...Hivi ni vikombe vya kawaida..Ubora wetu inabidi upimwe kwa kuchukua EPL na Champions League
Okay,sawa mkuuPost yangu haikulenga kuonesha kwamba nafurahia makombe ya zamani ila si baya sifa ya timu ya mpira ni kushinda mataji kumbuka hilo pia naonesha ni kwa namna gani tulivyokuwa wa kawaida bado tulipata kitu pamoja na wachezaj waliokuwepo na mfumo mbovu wa kocha nimegundua ni kwa namna gani tulikuwa na mfumo wa bovu ni kutoka na wachezaj waliokuwepo pale ni kumbukumbu nzuri kwa timu hilo nalo linaongeza kitu si hivyo tu ni kwamba yule kocha tuliekuwa tunamchukia mwishoni hakutuacha mikono mitupu.
Chemistry anazidi kuijenga, we subiri uone kama tutashinda
2 days to go,na hakuna la maana lililofanyika
I'm fecking tired of this club
Hakuna timu inaweza kumnunua DJ kwa hiyo pesa.Solskjær is prepared to sell Daniel James to fund a late move for Jadon Sancho, but Ole is yet to convince United's board of the merits of a potential £25m sale #mulive [espn]
SMH!
Acha hizo mambo, huwezi kuombea timu yako ifungweNaombea Man U tusishinde hata gemu moja, yaani tupigwe nje ndani kama vibaka wa Tandika vile ili bodi ipate akili na imtimue yule masai arudi Monduli(Norway)
Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
Afukuzwe kwa lipi ?Sosha hajafukuzwa tu.......ndio habari nazozisubiri tu hapa
Kumfukuza Solkjaer ni kumuonea tu.
Hilo kundi ni jespesi sana kwa united.★me najiuliza hivi hapa tutatoboa kweli nahitaji mawazo yenu nijipange ki psychologia maana naona kuna maumivu★View attachment 1588538
Kundi lote lina average teams.Ngumu sana labda tubadilike lkn kwa mpira wetu ule wa kutegemea juhudi binafsi sioni pa kupenya.