Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nikiwa kama shabiki wa Arsenal naamini hizi ni rumours tu.

Mchezaji anacheza beki, winger, kiungo na akikaa kipa ana uwezo wa kupata clean sheet nyingi kuliko Kepa anauzwaje kipindi hichi timu inahangaika kujijenga?
Ni kweli kabisa mkuu yn man u itoe pesa imsajili chizi km Niles kweli jmn??
 
Nilisema hana thamani hiyo nikaambiwa nitulie maswala ya ukoo hayanihusu. Naona mwanaukoo mwenzao umegutuka kua kuna transfers zinafanywa halafu ni za viazi.

Kwa maoni yako. Ni kweli alaumiwe Lindelof au Maguire ni mzigo?
Comrade Kipepe mlitoa £72 ml je alikuwa na thamani hiyo?? Kama Kipepe mliuziwa £72 ml ,Unadhani Jordan Sancho value yake itakuwa ipi??
 
Facts zipi
Ss Niles wa nn, pale utd atacheza wapi mkuu?

Msione tunayumba tatizo ni mbinu za kimpira na makosa madogo madogo ya wachezaji ambayo yakipata mwalimu mzr yanapotea fasta.

Uyo Niles japo mnasifia anacheza mpk kipa lkn pale utd hachezi hata hyo nafasi ya kipa cz kuna makipa wazuri mnoo.
 
mkuu mbona toka msimu uliopooita tulikuwa tunacbeza vibaya akajificha kwenye hoja ya rebuild msimu huu kaja na hoja ya uchovu ila mbivu na mbichi zitajulikana labda bahati imbebe ila ile quality ya kocha yenye kuamua baadhi ya game imemshinda game nyingi
well said mkuu, huyu kocha snatemblea bahati tuu ila mbinu hana na anatumiza wspenzi na mashabiki wa man utd
 
well said mkuu, huyu kocha snatemblea bahati tuu ila mbinu hana na anatumiza wspenzi na mashabiki wa man utd
Hata ukiangalia mechi ya utd kiukweli haivutii kabisa japo tuna wachezaji wengi wazuri, ni nafuu Arsenal na wachezaji wake wa kuunga unga lkn wanacheza kitimu kuliko utd yenye Lundo la quality players.

Mm cku hz nimeamua kuangalia games za liver mana wananifurahisha sn wale jamaa, Liverpool na Bayern ni kiboko ya matozi huwa nawaangalia sn.
 
Ss Niles wa nn, pale utd atacheza wapi mkuu?

Msione tunayumba tatizo ni mbinu za kimpira na makosa madogo madogo ya wachezaji ambayo yakipata mwalimu mzr yanapotea fasta.

Uyo Niles japo mnasifia anacheza mpk kipa lkn pale utd hachezi hata hyo nafasi ya kipa cz kuna makipa wazuri mnoo.
Makipa wazuri mno!!!

Arsenal ikiwa na Niles na man united ikiwa na makipa wazuri mno matokeo ya mechi yalikuaje
 
Leo nadhani ni usiku wa JLingz Lingardinyo na mpopo Ighalo,sioni Ole akianza na first team players wengi

GGMU
 
Back
Top Bottom