Nikiwa kama shabiki wa Arsenal naamini hizi ni rumours tu.Kwa hiyo dili la Sancho limeangukia hapa!!!View attachment 1585639
Mchezaji anacheza beki, winger, kiungo na akikaa kipa ana uwezo wa kupata clean sheet nyingi kuliko Kepa anauzwaje kipindi hichi timu inahangaika kujijenga?
