Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Napenda sana jinsi unavyoweka fact hadharani
Wengi wamezoea blah blah tu
 
Wengi hawajui hii
Now mpira ukigusa mkono ni tuta hakuna ball to hand wala hand to ball
Ukishika umeshika
 
Chief-Mkwawa,

Safi sana. Nimependa sana your smart 'observation' japo sio directly conclussive proven fact ila kuna kitu kikubwa sana umeongea, nimegundua kilichofanya tucheze hovyo hizi mechi tatu za mwanzo japo tumeshinda mbili (Luton, Brighton) ni match fitness kwangu mimi nilimuangalia Paul zaidi ila kiujumla timu nzima iko chini sana. Binafsi nimeona mapungufu mapya makubwa zaidi benchi la ufundi halina contingency plan hasa hasa ktk vipindi vigumu hata msimu uliopita huwa hawawezi kucheza bila kikosi cha kwanza na kupata matokeo pia hata game plan tunaingia na moja tu ukitushika umetufunga.
 
Kwa zile hela mlizoweka mzee baba mnagombania drooo daaaa maisha yanaenda kasi sana
Wachezaji wamesajiliwa juzi tu hapa. Tulia hivyo hivyo, kikosi chenu mko tangu msimu uliopita bado nategemea kushinda kwa penati, mnashinda baada ya Refa kupuliza kipenga cha mwisho😂😂
 
Nimeshangaa sana jana Chelsea kushangilia sare kwa Westbrom, hii maana yake hawa jamaa ni wabovu sana msimu huu pia. Huwezi kufurahia sare kwa timu ndogo wakati umetumia zaidi ya pound 150M sokoni msimu huu mpya. Msimu huu timu nyingi ndogo zitawasha sana moto kwa wakubwa wakiongozwa na Leeds sasa kama wameanza kushangilia mapema kwa Westbrom wawasubiri Leeds na Everton.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…