Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Ligi ni Marathon. Sio sprint.Spurs, Chelsea, Arsenal, Everton
Katika hizi fixture Ole akitoka salama na aachiwe timu, ndani ya wiki 6 zijazo tutajua mbivu na mbichi.
Lengo ni makombe.
Ligi ni Marathon. Sio sprint.Spurs, Chelsea, Arsenal, Everton
Katika hizi fixture Ole akitoka salama na aachiwe timu, ndani ya wiki 6 zijazo tutajua mbivu na mbichi.
Lingard amekufa???? Mou anamtaka kule Spurs..ngoja aende ndio utamjua.Hao wachezaji watauzwa tutatafuta wengine.
Lingard amekufa kiwango, kosa la nani?
Vichwa maji bado mojaNahitaji goals mbili nina kazi nazo, haijalishi nani anashinda hizo goals
Leta msimamo wa ligiTumepigwaaaa
Naona wachezaji wameamua kucheza kila mtu kwa kipaji chake


sasa kama kocha hamna anachofundisha wafanyaje?Bonge la penenka
Wachambuzi wanasema wanakosa umoja kila mchezaji yupo kivyake na kocha kazubaa kama mwana mkiwa akiwa na njaaJasho linawatoka balaa. Msipokuwa makini hii game mnapoteza. On target shoot ni moja. Hamja create hata nafasi moja. Goal la set piece ni uzembe wa timu pinzani. Unyesheni ubora basi. 😐😐🙄
Brighton wapo vizuri kuliko united ambao kuna kitu wana kikosa sijajua ni nini!
Magwaya yupi uyo..Own GoalOur best captain harry magwaya