Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pamoja na umri wao lakini walikuwa bora kuliko hawa tulionao.

Wachezaji wengi tulionao ukiondoa Bruno siyo leader material wakati kikosi cha Ferguson ukiondoa Phil Jones na Lindergad wengine wote walikuwa leader material.

Kikosi chetu hakina Captain kina mvaa kitambaa tu.

Mwalimu hana ambition ya kuchukua mataji na timu nzima haina ambition ya kuchukua mataji.

Board haina ambition ya kuchukua mataji ndiyo maana mwalimu hapewi pressure ya kudeliver uwanjani.

Kikosi hakina wachezaji wenye ambition zao binafsi za kufika mbali hivyo huwezi kuona individual brilliance ikitamalaki uwanjani.

Kikosi chetu kimejaa wavulana kiumri, kiakili na kimwili unategemea wavulana wafanye vizuri ?

Kikosi cha Ferguson kilikuwa na wanaume hiki cha sasa ni wavulana how can you compare men with boys ??
Umri co shida mkuu angalia mbn Bayern ina wavulana wengi na wako vizuri.

Kuhusu ubora angalia Ginabry wa Bayern na wa Arsenal, angalia Muller wa Pep na wa ss, angalia Alcantara wa barca na yule wa Bayern ni tofauti kutokana na jinsi gani kocha anawatumia.

Mbn ajax ilikuwa na watoto wengi msimu uliopita na ikasumbua? Tatizo ni kocha tu na sio kitu kingine.
 
Pia wengine ni wazuri ila ni wapuuzi pengine ni kutokana na ubora mdogo wa kocha wachezaji km

Rashford
Martial
Linderlof.. huenda co wabaya isipokuwa kocha huenda hawezi kuwafanya waonekane ni killers, imefika kipindi hata pogba anaonekana hovyo kabisa.
Toka tumetolewa na Sevilla kwa yaliyokuwa yanaendelea kwa wachezaji wa united nilitegemea wangeanza ligi vibaya.

Captain wa timu katoka jela kwa kupiga mtu na timu inaonekana kulichukulia poa tu wakati huyu mentally hayuko sawa sawa.

Greenwood katoka kugonga demu kambini unampeleka uwanjani kufanya nini wakati hayuko sawa sawa mentally.

Rashford katoka kwenye injury unampeleka uwanjani kufanya nini wakati hayuko vizuri physically.

Pogba katoka kwenye kuugua corona unampeleka uwanjani kufanya nini wakati corona inaweaken mwili?

Timu imefanya mazoezi siku tatu kabla ya mechi na Crystal Palace hivi ulitegemea kushinda mechi kama ile kwa Crystal Palace iliyofanya Preseason kwa wiki nne ?

Hata leo tunauwezekano mkubwa sana wa kufungwa na Brighton.
 
Umri co shida mkuu angalia mbn Bayern ina wavulana wengi na wako vizuri, angalia Ginabry wa Bayern na wa Arsenal, angalia Muller wa Pep na wa ss, angalia Alcantara wa barca na yule wa Bayern ni tofauti kutokana na jinsi gani kocha anawatumia.

Mbn ajax ilikuwa na watoto wengi msimu uliopita na ikasumbua? Tatizo ni kocha tu na sio kitu kingine.
Hujanielewa hiyo point yangu kasome tena.
 
Toka tumetolewa na Sevilla kwa yaliyokuwa yanaendelea kwa wachezaji wa united nilitegemea wangeanza ligi vibaya.

Captain wa timu katoka jela kwa kupiga mtu na timu inaonekana kulichukulia poa tu wakati huyu mentally hayuko sawa sawa.

Greenwood katoka kugonga demu kambini unampeleka uwanjani kufanya nini wakati hayuko sawa sawa mentally.

Rashford katoka kwenye injury unampeleka uwanjani kufanya nini wakati hayuko vizuri physically.

Pogba katoka kwenye kuugua corona unampeleka uwanjani kufanya nini wakati corona inaweaken mwili?

Timu imefanya mazoezi siku tatu kabla ya mechi na Crystal Palace hivi ulitegemea kushinda mechi kama ile kwa Crystal Palace iliyofanya Preseason kwa wiki nne ?

Hata leo tunauwezekano mkubwa sana wa kufungwa na Brighton.
Hapa ss tumeelewana mkuu kwamba tatizo ni kocha kwamba hana mbinu uwanjani, anawachezaji wengi lkn anawatumia wachezaji ambao ni unfit, anashindwa ku control tabia za wachezaji, simply hatufai.
 
Napinga kwa nguvu zangu zote, mpaka povu lina nitoka.
Ole, anatolewa sadaka tu.
Tatizo lipo kwa Grazza family & Ed wood.
Ifike hatua tuseme ukweli tu, timu yetu tangu wakabidhiwe hawa Grazza family na upepo wa furaha kwa mashabiki ukapotelea hapo.
Kwamba unamhitaji Sancho kumfunga Crystal Palace? Smh.. Glazers na Ed wana matatizo yao ila kwa haya ya sasa Ole hakosi lawama!
 
Nimesoma maoni yenu wadau ila kwasasa pamoja na mapungufu ya ed woodward kwanza inapaswa OGS afukuzwe kazi, huyu kashindwa kuwapandisha viwango wachezaji tulionao, hana mbinu mbadala timu inapozidiwa, man utd haitaji world class player kuifunga crystal palace, man utd ni kubwa sana kwa OGS, kwanza hana maamuzi magumu, Last season De Gea kachoma sana kashindwa kumuweka benchi kwasababu ya jina,

Tunaitaji kocha ambaye Pogba au Rashford wakizingua wawekwe benchi, kocha mwenye sauti dressing room

Yule kocha wa Leeds anaitwa Marcelo Bielsa watu wanamchukulia poa ila bonge la kocha, very tectical,
Nina amini Bielsa ukimkabizi timu hii hii amtamini viwango vya wachezaj wetu vitakavyokua juu
 
Kwamba unamhitaji Sancho kumfunga Crystal Palace? Smh.. Glazers na Ed wana matatizo yao ila kwa haya ya sasa Ole hakosi lawama!
Fundi wa mpira Marcelo Bielsa yupo Leeds kule anapauka tu, alafu kuna kilaza fulani kisa ni Legends anavumiliwa pale OT

Bora Evra juzi katoa ya moyoni, kasema ma'legends wanaogopa kusema uozo wa bodi na kocha kwasababu wanamatumaini kuja kuajiriwa uko mbeleni

Jaribu kufikiri cha LVG na Mourinho, kina Neville, Rio na Scholes etc mapovu yalikua yanawatoka mpaka kariakoo
 
Ila mpira huu bwana we acha tuu! Mourino kumtaka Lingard mwenye goli 1 akiwa na umri wa miaka 27 msimu ulioisha EPL,,,, ila hana mpango na delle alli aliyemaliza na Magoli 8 + 4 assist . Sijui mashabiki wanajisikia kuletewa kilaza na kuondoa kipanga
Kama wameshindwa kumsajili Sancho wamsajili Delle Alli
 
★Telegraph | United have an interest in Dayot Upamecano but United need to offload players first. Jones and Rojo are proving hard to sell.

Hawa akina JONES na ROJO wameenda kwa mganga hakuna team hata moja ilowaona wanafaa kweli dawa zipo hata kagera sugar haijaona kweli



manutd |
 
★Telegraph | United have an interest in Dayot Upamecano but United need to offload players first. Jones and Rojo are proving hard to sell.

Hawa akina JONES na ROJO wameenda kwa mganga hakuna team hata moja ilowaona wanafaa kweli dawa zipo hata kagera sugar haijaona kweli



manutd |
Labda kuwapa bure hata timu za daraja la sita sidhani kama zinaweza kumsajili Phil Jones
 
★Hawa nao kama hawataki kutuuzia waseme sio kila siku kututishia mtu mmoja kama bila yeye hatutacheza ningekuwa mimi Ed ningekuwa nishaghaili maswala yakubembelezana huwa siyaelewi kabisa


manutd
IMG_20200922_131133_686.jpeg
 
★Liverpool signed Thiago and Jota.

Tottenham signed Bale and Reguilon.


Meanwhile, United...

#GrazzersOUT
#EdwoodwardOUT
#MattJudgeOUT

NOTE: ANOTHER DEPRESSING SEASON GOING TO START TUJIANDAE KI AKILI

#GGMU

@manutd
IMG_20200922_121109_007.jpeg
 
Kikosi kibovu hakijawahi kuchukua ubingwa ktk historia ya soka duniani, hapo nmefanya comparison ya vikosi na tukubali tukatae kikosi chetu cha ss ni kizuri sema tumekosa wa kuunganisha wachezaji na ndiyo maana hata aje nani pale utd ataonekana hovyo kwasababu kocha wetu bado.
na hii ndo point mkuu
 
Nimesoma maoni yenu wadau ila kwasasa pamoja na mapungufu ya ed woodward kwanza inapaswa OGS afukuzwe kazi, huyu kashindwa kuwapandisha viwango wachezaji tulionao, hana mbinu mbadala timu inapozidiwa, man utd haitaji world class player kuifunga crystal palace, man utd ni kubwa sana kwa OGS, kwanza hana maamuzi magumu, Last season De Gea kachoma sana kashindwa kumuweka benchi kwasababu ya jina,

Tunaitaji kocha ambaye Pogba au Rashford wakizingua wawekwe benchi, kocha mwenye sauti dressing room

Yule kocha wa Leeds anaitwa Marcelo Bielsa watu wanamchukulia poa ila bonge la kocha, very tectical,
Nina amini Bielsa ukimkabizi timu hii hii amtamini viwango vya wachezaj wetu vitakavyokua juu
ukweli ndo huu tusiwe washabiki kukwepa ukweli
 
Back
Top Bottom