Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna watu humu wanasema ni sababu man utd haijasajili ... ni sababu haina wachezaji world class kwenye baadhi ya maeneo ... lakini twende mbele turudi nyuma ... unahitaji kikosi kizima cha world class ndo uweze kupata points kwa Crystal Palace?

Ya kwamba kikosi hiki cha wakina Pogba, Fernandez, VDB na wengineo, ni dhaifu kiasi cha kutokuweza kupata points dhidi ya mid-table teams? Haingii akilini. Ingekuwa ni UEFA sawa.

Kuna shida mahali.
 
Mkuu me nadhan ole apewe muda.. hiv unajua klop katumia miaka zaid ya mi nne kuijenga hii team.....? Watu wanamlaumu ole bure tu
Klopp amefika fainali zaidi ya mbili katika hicho kipindi wakati Ole ameshindwa kusecure nusu fainali zaidi ya mbili ndani ya msimu mmoja....

Klopp timu aliyotoka kuifundisha na timu aliyotoka kuifundisha Ole ni dhahiri Klopp ni techinician mzuri kuliko Ole.

Kuwafananisha ni kumuonea mmoja wapo.
 
Mkuu me nadhan ole apewe muda.. hiv unajua klop katumia miaka zaid ya mi nne kuijenga hii team.....? Watu wanamlaumu ole bure tu
Wakati huo Klopp akiwa anaijenga timu uliona achievements zake? ... kwa kikosi kilekilw alichokikuta, uliona alipokuwa anafika?
 

Kwa hiyo unachomaanisha ni kwamba Ole hakuwahitaji Bruno, Bissaka na Maguire wala sio chaguo lake?
 
★Me huwa ninahisi kabisa kabisa 100% Ed Woodward anakisasi na Manchester United huenda kuna kosa walishawahi kumtendea kipindi cha zamani tena kisasi chake ni kama kile cha "korea Series Alinyimwa kazi na kampuni flani wakamtusi anaenda kusoma anatafta hela anakuja kuzamini kampuni kumbe ana lengo la kufirisi kulipa kisasi chake" Ko waunde bodi kumchunguza huyu jamaa ATATUCHOMESHA OHOOOO nasema tena ATATUCHOMESHA OHOOOO nishaanza kuwaza hili mimi
Ivi babu, Matic kwani mgonjwa?
Kama yuko fiti, basi Ole kachangia tufungwe.
Swala la usajili haliepukiki.
CB, CF & RW lasivyo tutaendelea kuumia.

Hivi njia gani itumike kumfukuza kazi Ed wood?
Huyu jamaa sina imani nae, haki ya mungu.
 
Tottenham wanataka kusaini mkataba na kiungo wa kati wa Manchester United Muingereza Jesse Lingard, 27, kwa paunini milioni 30. (Daily Star Sunday)
 
Leeds United watajaribu kumsaini winga wa Manchester United Daniel James, mwenye umri wa miaka 22, kama mchezaji huyo wa kimataifa wa Wales atatimiza vigezo vya Old Trafford. (Daily Star Sunday)
 
Acha tu mdau imefikia hatua mie fan wa hii timu naangalia mpira huku chozi lanidondoka
 
Mwl!
 
Kwa hiyo unachomaanisha ni kwamba Ole hakuwahitaji Bruno, Bissaka na Maguire wala sio chaguo lake?
Sina maana hiyo. Nimesema Woodward hakwepi lawama mana makocha wote waliopita baada ya fergie ukiondoa ole wote walilalamika kutosajiliwa machaguo yao ya kwanza. Nikasema ukiondoa hiyo Ole nae uwezo Mdogo pia
 
Watu wanamsifia arteta kisa kashinda games 2 .. kwan ole hajawah shida games 5 mfululizo...?
Ushindi siyo ishu. Ishu pattern ya ushindi imeonekana?

Ni kama Sevilla na Simba wengi tulijua Simba atafungwa lakini aliuwasha moto in terms of fighging spirit, technics n.k mpaka hata baada ya kufungwa aliyeangalia mechi anasema hapa nimeangalia mechi.

Game ya Chelsea na Brighton, Chelsea kashinda lakini kwa ushindi komedi na striker wao akisema mabeki ni wagumu. Hakukua na pattern ambayo tuliitarajia itoke kwa kikosi kilichosajili kama kile.

Pattern ndiyo msingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…