Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mbona kila muda tupo "Negative" tu mkuu?

Shida kwenye hicho kikosi hapo ni nini?
Mkuu hili ndio tatizo tuko kujipa moyo lkn hawa wachezaji wengi wa utd co level yetu, unajua tuna michuano mingi so kwa wachezaji wa kiwango cha kupanda na kushuka au kutegemea ameamkaje km hao niliowataja ni shida, kwa mfano leo tunacheza na timu ndogo unaweza kuwaona watu ila wanamakosa mengi mno.
 
Huyo mensa ataweza kumkaba zaha kweli au ole analeta masihara??
Mkuu kiuhalisia hawezi...ila tungoje dk 90 zitaamua...pia tujue kabisa upande wa mensah kama james atashindwa kucheza vyema basi tujue upande huo umekufa tayari.
 
Mkuu kiuhalisia hawezi...ila tungoje dk 90 zitaamua...pia tujue kabisa upande wa mensah kama james atashindwa kucheza vyema basi tujue upande huo umekufa tayari.

Ole probably is so ignorant how comes unaleta majaribio kwenye game serious?? Kweli? Au kaidharau sana crystal palace na kamdharau zaha. Hahaha with this lineup huo upande wa james na mensah ushakufa kwenda mbele na ndo upande leo utakaotuletea majanga anyway tutegemee miujiza tu
 
Mkuu hili ndio tatizo tuko kujipa moyo lkn hawa wachezaji wengi wa utd co level yetu, unajua tuna michuano mingi so kwa wachezaji wa kiwango cha kupanda na kushuka au kutegemea ameamkaje km hao niliowataja ni shida, kwa mfano leo tunacheza na timu ndogo unaweza kuwaona watu ila wanamakosa mengi mno.
Na nyie wadau mnapuyanga sana! Hao waliokuwa level zetu walikuwa wanashinda makombe yote mfululizo kwenye michuano yote!? Hao level zetu hawakuwepo kwenye vichapo vya 6-1,3-1 n.k.?.
 
KOCHA MKUDA SANA HUYU, ANAANZA UKUDA MAPEMAAAA...KULE NJE KUNA VIUNGO WA DUNIA UNAMUWEKA POGBA NA HUYO DOGO! WAN BISSAKA YUPO UNAMIWEKA BENCH ETI ANAANZA FOSUH MENSAH PAMBAF KABISA.
 
Back
Top Bottom