Mwisho wa msimu Ole alete majibu kama bado anafaa au la.nilibahatika kuiangalia kiuvivu ile mechi hapo jana asubuhi (kupitia MAN UTD TV)....
aston villa walicheza vizuri zaidi dhidi yetu
==============
kocha anatakiwa awe na philosophy inayoonekana....
angalia alichokijenga marcelo bielsa pale leeds ndani ya muda mfupi
angalia anachokijenga arteta pale arsenal ndani ya muda mfupi
View attachment 1569397
picha haina uhusiano na thread hii
Brother.Nimeiona hii habari asubuhi.
Kifupi ni kwamba wamiliki wa timu nyengine wanatoa hela zao mifukoni kusaidia club zao, ila wa kwetu wanachota hela zetu kwa shida zao binafsi.
Na hawa jamaa hawalipi deni ambalo wameliweka wao wenyewe, lipo vile vile, club inalipa Riba tu na huduma nyengine ya hilo deni, hii inasababisha hata watu wengine wasivutiwe na kuinunua Man Utd sababu itawagharimu sana.
Hali inatia mashaka sana ni kama vile kombe litajileta tu kwa kufuata ukubwa wa timu bila kuwa na mikakati hiyo.umeongea kwa uchungu sana.
waarabu hawawezi pewa timu epl, Saudi wameshakataliwa Newcastle, sidhani kama ya City na Psg yatajirudia tena, sheria nyingi sana zimetungwa baada ya take over za mabilionea Malaga, city, Psg, chelsea etcBrother.
Man Utd ni brand kubwa sana.
Waarabu wakiamua kumwaga mpunga hawajali maswala ya hayo madeni.
Hakuna mtu mwenye hela asipende kupata dodo kama la kumiliki Man Utd.
chief, naifahamu vizuri sana nguvu ya manchester united kithamani na hoja yangu haikuegemea kabisa upande wa assets...........ndani ya miaka 5 matajiri wa man city wamewekeza mtaji wa takribani trillioni 2 pale etihad lakini kwa ukoo wa glazer hali ni tofauti (kama ulivyoelezea hapo juu)Man City hajaifikia Man Utd kwa hela, Man U barca na Madrid wapo level ya kipekee juu, wakifuatiwa kwa Karibu na Bayern, waliobakia wote hawana Asset za kuwafikia hao wanne.
Mfano uwanja tu Man City hawana wanatumia uwanja wa serikali, na Deal lao kubwa ambalo wanalo la Etihad ni la ndugu yake mmiliki. Hivyo Akiondoka Mmiliki siku yoyote Man City wanarudi kama Astona Villa tu.
my mistake mkuu, ni kweli kwa uwekezaji wa wamiliki wametuacha mbali,chief, naifahamu vizuri sana nguvu ya manchester united kithamani na hoja yangu haikuegemea kabisa upande wa assets...........ndani ya miaka 5 matajiri wa man city wamewekeza mtaji wa takribani trillioni 2 pale etihad lakini kwa ukoo wa glazer hali ni tofauti (kama ulivyoelezea hapo juu)
ndio maana nikasema man city ameshamzidi man utd (kiuwekezaji).
ukoo wa glazer ni parasite
Nilivyomuona Kai karavati vs Brighton's tusijaribu kutupa 120 kwa Sancho wajerumani ni madalali hawana huruma ... wenzetu wamepigwa leo ndiyo wamekubali
Jamaa anapiga pass kwenye mabango ya matangazoKai Karavati
🤣🤣🤣 yupi huyoAmkeni amkeni Kuna team imeibiwa
"A lot of money is alot of problems" Jose Mourinho on Kai harvertz
Kai Karavati, mzee wa mabangoyupi huyo
Mkuu hakuna haja ya kumdadavulia..kama ameangalia gemu zetu msimu huu na anasema ole hana mbinu kabisa hata nikimdadavulia hawezi kuelewa..Mdadavulie sasa mdau
Hii mechi sio ile ambayo cr7 anafunga jamaa wanarudisha mwishowe cr7 akawa anacheka lkn alipiga goli mechi ikaisha kwa ushindi au co hii.