Kwahiyo yeye ndiye alikua anamuweka benchi Pullisic?Hajawahi kuwekwa benchi, kama hufahamu Sancho sasa hivi ana miaka 20, miaka 3 iliopita wakati ana debut alikuwa na miaka 17, inamaana alikuwa anacheza timu ya watoto na wakubwa,
Toka aingie kikosi cha kwanza akiwa na miaka 18 amecheza mechi 30+ kwa msimu, alikuwa akianza karibia kila mechi, na misimu hio miwili yote ana goli assist za kutosha.
kwanza kwanini unataka kuforce mmoja anamuweka mwenzake bench? hawawezi cheza pamoja?Kwahiyo yeye ndiye alikua anamuweka benchi Pullisic?
Kwahiyo yeye ndiye alikua anamuweka benchi Pullisic?
Magwayaa😂😂😂😂😂Huu uzi uvae afu na gari likugonge itakuwa dharau kubwaView attachment 1563822View attachment 1563823View attachment 1563824
ZEBRA FC😂😂😂😂😂😂😂
Uyo sancho EPL ilimshinda usimfananishe na Pulisic1.Pulisic amezaliwa 1998 while Sancho 2000 (Wakati Sancho anaenda Dortmund Pulisic tayari alikuwa senior team)
2.Sancho alihama Man City baada ya kuona hawezi kupata nafasi kwenye senior team,Dortmund walimsajili kwa timu ya vijana
3.Baada ya mechi chache Sancho alikuwa promoted kwenye senior team tangu hapa hajawahi kuwekwa benchi
4.Sancho ndio alimuweka Pulisic benchi msimu wake wa mwisho kabla hajahamia Chelsea
Mpaka sasa Henderson ni Legend kwa Liverpool kuliko Gerald.
faida ya kwanza:Ni kweli mkuu nilifurahi sana kuja kwa Donny sasa tunadepth nzuri kwenye midfield yenye wachezaji wazuri 6 hapo tunaweza kubadili mfumo uwanjani kadri tunavyotaka lakini pia tunaweza kufanya sub ya Pogba au Bruno bila shaka pale wanapochoka.
Chris Smalling is on the verge of leaving United to join Roma. Some good memories of Smalling, including this one from 2015 when he made Mario Balotelli look like a scared child.
View attachment 1565614
Kwa usajili huu utatuongezea kitu tunahitaji sasa tusajili na Right wing.faida ya kwanza:
unaweza ukawa na wachezaji wachache wenye ubora lakini ukawa na kikosi kipana (squad depth), ukiachana na ishu ya tactics huu usajili wa donny kwa jicho la kawaida utasaidia kutanuka kwa kikosi chetu (ni mchezaji mwenye uwezo wa kucheza nafasi nyingi).
====================================
- ukicheza na team isiyopenda kufunguka kwa kocha anayejiamini anaweza kuanza na donny + pogba + bruno
- ukipatwa na tatizo la injury (kati ya bruno au pogba): donny ana uwezo wa kuziba nafasi zao
- ukicheza diamond (rejea mechi ya everton): donny + matic/fred/scott + bruno + pogba
Inaonekana jamaa alikasirika sana kiasi cha kumfanya Mario aogope.Super Mario katulia kama maji kwenye mtungi na vagi zake
Hiyo game niliiona hapo super mario alitaka kwenda kumzaba makofi criss, washabiki wakamshikaSuper Mario katulia kama maji kwenye mtungi na vagi zake
Tafuta video, criss alimsukuma mario, mario akąwa anataka kwenda kumralua ndio wsshabiki wakawahi kumshika, huto tumrembo tu criss kakawa kanachonga tu, ila angetolewa meno siku ileInaonekana jamaa alikasirika sana kiasi cha kumfanya Mario aogope.
Ilete basi hiyo video mkuuTafuta video, criss alimsukuma mario, mario akąwa anataka kwenda kumralua ndio wsshabiki wakawahi kumshika, huto tumrembo tu criss kakawa kanachonga tu, ila angetolewa meno siku ile
Hutaki kazi mkuu?Uyo sancho EPL ilimshinda usimfananishe na Pulisic
Mkuu wachana naye huyo mtoto bora umpe yule jamaa aliyeomba akufate pm huyo wachana naye kwanza anatuharibia uzi humu.Hutaki kazi mkuu?
Ujue wiki nzima nilikuwa nalusubiri, nilidhani unaandika CV kumbe upo huku unacheza!
Kila la kheri.
Michezo mema.
Shukrani.Mkuu wachana naye huyo mtoto bora umpe yule jamaa aliyeomba akufate pm huyo wachana naye kwanza anatuharibia uzi humu.